NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
wadau huwa napenda kutumia alozera lakini kutokana na muda wangu kuwa mdogo huwa natengeneza nyingi ambayo huweza kukaa hata siku 5 na siweki kwenye friji nje ya kuwa inaweza kulewesha je kuna madhara naweza kupata kutokana na utunzaji huo? naomba msaada wadau
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU NA MUNGU AWABARIKI
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU NA MUNGU AWABARIKI