Kobe la Makobe
Senior Member
- Feb 3, 2024
- 129
- 141
Salamuni ndugu zangu, niende moja kwa moja kwenye topic, ni nini husababisha baadhi ya watoto na hata wakati mwingine watu wazima kutoa jasho lisilo la kawaida?
Nina mdogo wangu watoto wake mmoja miaka minne wa kike na mwingine miaka miwili wa kiume huwa wanatokwa sana na jasho hata kipindi ambacho sio cha joto kiasi cha kutoa jasho kama hilo. Wakilala yaani sehemu walipolala huwa hadi panaloa kabisa kwa jasho.
Wana afya nzuri tu ila tatizo ni hilo jasho, wakivaa ndala lisaa tu zote zinakuwa zimeloa. Vile vile shemeji yangu nae ambae ni mama wa watoto hawa nae akivaa ndala kwa muda mrefu nae hujikuta miguu imeloa na kama anatembea kwenye vumbi basi akifika miguu inakuwa kama katembea kwenye matope
Je, hili linaweza kuwa ni tatizo gani na nini dawa yake?
Natanguliza shukrani.
Nina mdogo wangu watoto wake mmoja miaka minne wa kike na mwingine miaka miwili wa kiume huwa wanatokwa sana na jasho hata kipindi ambacho sio cha joto kiasi cha kutoa jasho kama hilo. Wakilala yaani sehemu walipolala huwa hadi panaloa kabisa kwa jasho.
Wana afya nzuri tu ila tatizo ni hilo jasho, wakivaa ndala lisaa tu zote zinakuwa zimeloa. Vile vile shemeji yangu nae ambae ni mama wa watoto hawa nae akivaa ndala kwa muda mrefu nae hujikuta miguu imeloa na kama anatembea kwenye vumbi basi akifika miguu inakuwa kama katembea kwenye matope
Je, hili linaweza kuwa ni tatizo gani na nini dawa yake?
Natanguliza shukrani.