KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
habari wakuu
kumekucha,serikali imekuja na mpya nyingine, kuanzia sasa daktari wa serikali hamna ruhusa kufanya kazi private, unless uwe na kibali maalum.
What is going on in this country? sasa mishahara ya madaktari yenyewe ni sawa na mfagiaji wa TRA, sasa kweli hapa tutaishi?
kama wanataka hivyo mbona wasboreshe maslahi ya madaktari wa serikali, ili wasiende private? hii ndiyo kasi zaidi ya kuwafanya madaktari wawe maskini zaidi.na mwisho wote watakimbia nchi,tutibiwe na waganga wa kienyeji.
Oh God, bless this country,what and where and when did we go wrong that we have to suffer this life soo much?bora tu ulete tsunami tufe wote, ili yaishe, hii nchi haikaliki.
kumekucha,serikali imekuja na mpya nyingine, kuanzia sasa daktari wa serikali hamna ruhusa kufanya kazi private, unless uwe na kibali maalum.
What is going on in this country? sasa mishahara ya madaktari yenyewe ni sawa na mfagiaji wa TRA, sasa kweli hapa tutaishi?
kama wanataka hivyo mbona wasboreshe maslahi ya madaktari wa serikali, ili wasiende private? hii ndiyo kasi zaidi ya kuwafanya madaktari wawe maskini zaidi.na mwisho wote watakimbia nchi,tutibiwe na waganga wa kienyeji.
Oh God, bless this country,what and where and when did we go wrong that we have to suffer this life soo much?bora tu ulete tsunami tufe wote, ili yaishe, hii nchi haikaliki.