kaangwa
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 644
- 192
Ukiangalia kwa mtizamo dhaifu,unaweza kudhani uamuzi wa serikali kupitia tamko la bwana Masaju litamaliza tatizo na hakutakuwepo mgomo.Lakini nataka tutafakari yafuatayo:
1.Tumekuwa tukisema kazi ya udaktari ni ya wito,na huwezi kutofautisha wito na utashi wa mtu kwa maneno mengine niseme nyenzo inayosukuma wito ndani ya mtu ni utashi.Je kwa serikali kwenda mahakamani itawafanya madaktari wafanye kazi kwa wito?
2.Kugoma ni Kutowepo kwenye eneo la kazi au kutofanya kazi husika,lakini mtu akiwepo kazini na kufanya kazi lakini siyo kwa weredi huwezi kusema kagoma lakini madhara yatakuwepo kwa wanaohudumiwa.Mfano mwenye mamlaka ya kusema mtu huyu anaumwa au haumwi ni daktari(MD) na si mtu mwingine.Itakuwaje daktari akikwambia huumwi au akakupa dawa dhaifu ukilinganisha na ugonjwa unaoumwa?Ni rahisi kusema atachukuliwa hatua,ni sawa lakini kama ugonjwa huo ni kipindupindu,hatua itachukuliwa wakati mgonjwa ameishakufa.
Hivyo naiomba serikali asifanye siasa ktk suala hili,Maisha ya watz yanawasubiri ninyi kufanya uamzi sahihi.
1.Tumekuwa tukisema kazi ya udaktari ni ya wito,na huwezi kutofautisha wito na utashi wa mtu kwa maneno mengine niseme nyenzo inayosukuma wito ndani ya mtu ni utashi.Je kwa serikali kwenda mahakamani itawafanya madaktari wafanye kazi kwa wito?
2.Kugoma ni Kutowepo kwenye eneo la kazi au kutofanya kazi husika,lakini mtu akiwepo kazini na kufanya kazi lakini siyo kwa weredi huwezi kusema kagoma lakini madhara yatakuwepo kwa wanaohudumiwa.Mfano mwenye mamlaka ya kusema mtu huyu anaumwa au haumwi ni daktari(MD) na si mtu mwingine.Itakuwaje daktari akikwambia huumwi au akakupa dawa dhaifu ukilinganisha na ugonjwa unaoumwa?Ni rahisi kusema atachukuliwa hatua,ni sawa lakini kama ugonjwa huo ni kipindupindu,hatua itachukuliwa wakati mgonjwa ameishakufa.
Hivyo naiomba serikali asifanye siasa ktk suala hili,Maisha ya watz yanawasubiri ninyi kufanya uamzi sahihi.