Hapa kuna kitu nimekumbuka,Umeme wa Dharura Former PM sasa Madaktari wa Dharura!, Haya yangu macho!Serikali makini haijidanganyi kwa kuwa na mipango ya dharura ambayo inaharibu bajeti ya Nchi
bali inakua makini kwenye kutatua matatizo hayo kiumakini
umeme wa Dharura umechukua kipindi kizima cha urais wa jk na sasa madaktari wa dharura kama
wataletwa sijui itakuaje "Mungu ibariki TANZANIA,Mungu ibariki Afrika"