Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

Saa 10 leo jioni nimesikia ktk radio Uhuru kwamba MNH wamesitisha huduma zote za matibabu kwa wagonjwa wote toka nje. Hii ni historia nyingine ktk taifa letu. Najiuliza, Mponda na wasaidizi wake wanasubiri nini?

sio kusitisha tu waseme kabisa na jinsi wale wagonjwa waliopo mawodini wanavyokata roho kila baada ya dk 1 kwa kukosa huduma ya madaktari toka jana. waseme tu ukweli ujulikane jamani.hali ni mbaya sana huku muhimbili motuary imefurika hakufai.
 
Serikali isiyo sikivu, legelege na iliyoingia madarakani kwa katiba mbovu husababisha haya yote
 
Wakuu hali ni mbaya sasa Huduma zote za tiba ktk hospitali ya Muhimbili na ile ya MOI waliopo tu ndiyo watakao tibiwa na askali wa jeshi

Nawasilisha
source TBC - Taifa
 
kwanza ningetoa wito kwa mods kuunganisha hizi mada za mgomo wa madaktari. Pawepo na updates tu na michango ya kawaida.

Pili, kiukweli kwa nilivyoona itv muda huu inaumiza roho. Ni serikali gani hii? Watanzania tusifanye tena kosa next general election and on these by elections
 
Afu nashangaa Jk ananguvu hata ya kusiomama kwenye vyombo vya habari kuzungumza lakini watu wake wanakufa yeye kaziba masikio kabisa haelewi wala hasokii.
Ningekuwa mimi nisingekuwa na nguvu hata ya kusemama mbele ya vyombo vya habari na kuchekacheka. My president is very poor president very sad for our country to have a president like Jk.
 
Afu nashangaa Jk ananguvu hata ya kusiomama kwenye vyombo vya habari kuzungumza lakini watu wake wanakufa yeye kaziba masikio kabisa haelewi wala hasokii.
Ningekuwa mimi nisingekuwa na nguvu hata ya kusemama mbele ya vyombo vya habari na kuchekacheka. My president is very weak president very sad for our country to have a president like Jk.
 
Wakuu hali ni mbaya sasa Huduma zote za tiba ktk hospitali ya Muhimbili na ile ya MOI waliopo tu ndiyo watakao tibiwa na askali wa jeshi

Nawasilisha
source TBC - Taifa
Ishakuwa noma...na jamaa wa Bagamoyo yuo Duniani au kahama sayari????
Aibu hii na maumivu ya watu hayaoni???
Halafu wananchi wakiambiwa CCM oyee nao wanaitikia OYEEEEEEEEEEEEEEEEEE.......natamani kuwafyatua na maweeeeeeee niwamalize wote.
 
Nadhani JK ametokea kwenye sayari nyingine,

Anawezaje kukaa kimywa watu wake wanahangaika?

Hata hivyo tamk la Mama Kijo Bisimba lazima limuamshe kama kweli anajipenda!!

DC!!
 
Hivi hii kauli kwa watanzania iliyotolewa leo na spika kuhusu mgomo wa madktari watanzania wengi
wasiojua kiingereza wameilewa
 
sio kusitisha tu waseme kabisa na jinsi wale wagonjwa waliopo mawodini wanavyokata roho kila baada ya dk 1 kwa kukosa huduma ya madaktari toka jana. waseme tu ukweli ujulikane jamani.hali ni mbaya sana huku muhimbili motuary imefurika hakufai.

Mortuary kumefurika maiti za watanzania wasio ns hatia kwa ajili ya kiburi cha Blandina Nyoni na Waziri wake. Wao kwa sasa wapo wanakula bata kwa kwenda mbele as if nothing is happening. Na mkulu naye yuko kimya tu, anaona kila kitu kinakwenda sawa. Ehe Mungu inusuru Tanzania na uovu wa watawala wetu!!!!

Tiba
 
du wanajamii wenzangu baada ya kuangalia ITV habari ya saa mbili yaani sina raha na ki ukweli nimelia kwa uchunguniliposikia wagonjwa wanalalamika kwa uchungu wanatia huruma hadi machozi yamenitoka mwanaume kitu ambacho ni nadra kunitokeainasikitisha sana
 
Labda serikali inataka Dr.s waombe rushwa wagonjwa ili wajiongezee kipato,

Maana kila nikifikiri sioni wsababu ya serikali mfu hii kushindwa kutatua huu mgomo wa madaktari kwa kuwapa wanachotaka kwani kipo ndani ya uwezo wao, labda kwa kuwa wahusika serikalini hakuna anayetibu mgonjwa wake ktk hizi hospitali.

Inauma sana hadi machozi yananitoka nilnaposikiliza wagonjwa wanapohojiwa........

Eeee Mungu Mwenyezi shuka mwenyewe sasa utuokoe......

Mkuu tatizo ni kwamba serikali ilikosa busara katika kushughulikia suala hili. Madakatari ni binadamu kama sisi na wana uelewa mpana wa hali halisi ya nchi yetu kiuchumi. Nina imani kama Blandina Nyoni na Waziri wake wange-waaproach madaktari kwa kauli za kiutu na ahadi za kuliangalia suala lao katika bajeti ijayo ya serikali wangeelewa na kurudi kazini huku wakisuburi utekelezaji wa serikali katika bajeti ijayo. Lakini wenzetu hawa walitanguliza ubabe as if wanazungumza na wanafunzi wa shule ya secondary. Hii ni aibu kwa serikali ya JK.

Tiba
 
hata mlalahoi hulala usiku kupumzika daktari halali. hivi mwananchi gani baada ya kuhudumiwa anarudi kumwona dr anafanyaje usiku kazi? mkiondoka hata habari hamna daktari mumemwachaje hosp. hamjui kazi yake anaifanya vipi. ikiwa nyinyi munawalaumu daktari , dr amlilie nani. wananchi lazima muishinikize serikali
 
Back
Top Bottom