Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

Haipendezi hata kidogo kwa mtu mwenye akili timamu kushabikia mgomo wa madaktari...!!!
Mgomo wa madaktari ni jambo la kusikitisha sana, maana yake kuna watu wanakufa kwa kukosa
matibabu...kama mkeo/mumeo amepelekwa MNH akakutana na huo mgomo unaweza shabikia??
Jambo la msingi ni kuihimiza serikali yetu tukufu iwasikilize haraka madaktari kama ilivyofanya kwa
wabunge, maana karibia waalimu wataanza, kisha mahakimu watafuatia, halafu sijui nani tena wanajeshi au???

Ok fine sio vyema kushabikia mgomo wa madaktari,lakini wana madai yao ya msingi sana hata wagonjwa wenyewe wanawaunga mkono,kwa nini hatuukubali ukweli kwamba uzembe na ubinafsi wa serikali ndio chanzo cha manyanyaso yote haya kwa wagonjwa tunabaki kuwapa lawama madaktari,tusiwe selfish kiasi hicho!!!!!!!!!!!!, na hapo kwenye red sijui umetumia vigezo gani?
 
Jamani hata wale weupe anaowaomba misaada wanatushangaa kwa nini tulimpa yeye madaraka ya kutuongoza! jamaa hawezi kabisa wananchi wako wanakufa halafu upo kimia baada ya miaka mitano mkawaombe tena kura! Jamani hebu tuwe serious kidogo na msitakabali wa nchi yetu.
 
Nimetoka muhimbili nimekuta hali ni mbaya wagonjwa wametangaziwa mgomo na madaktari mwenye mgonjwa aende kuchukua ndugu yake. Nimemkuta bibi mmoja analia sana anasema sina uwezo sina ndugu nimekuja muhimbili na huku mgomo... Magari ya wagonjwa kutoka mwananyama, temeke, ilala wanarudishwa huko huko... Hii serikali jamani ....
 
wacha jamani nchi hii lakini tunaipenda sana ccm na leo wanatuua mama zetu na ndugu zetu wanakufa. Kweli ndio maisha bora haya.
 
attachment.php



Duuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Haya sasa CCM na sherehe za kiayawani jijini Mwanza, katikati ya matatizo mazito kitaifa, ndio hiyo imekwisha na watu kibao waliosombwa kutoka vijiji vya mbali mkoani hapo kudaiwa kutelekezwa bila nauli, sasa tunarudi pale pale - MADAKTARI WETU NA MANESI MNAANZA KUWALIPA MISHAHARA MIPYA NA MARUPURUPU kuanzia lini???????????

Mkumbuke kwamba na sisi Umma wa Tanzania hatuko tayari tena kuendelea kukosa huduma za kimatibabu kwa kutokana na serikali kwendelea na huu mwendo wa kusuasua - hivi karibuni na sisi huenda tukalazimika kuchukua hatua kutetea haki zetu kupata huduma iliobora maana kodi tulishatoa kwa serika.


THE DUALITY BETWEEN 'WHAT-IS-CCM-IS-THE-STATE' IS FAST KILLING OUR ECONOMY AND DISTORTING OUR TAXPAYER AND DONOR POWERS OVER PUBLIC RESOURCE AND PROPER USE

Something is seriously WRONG in the minds of CCM stalwart; they shall never live to see any DIVIDE NOR BOUNDARY between what is governmental and what is purely in the corridors of parochial party politics plate.

No wonder EU Committee of General Election Observers commented harshly on this DUALITYand how much it is eating down the nation bit by bit in every other socio-political and economic spectrum of our day today lives in this country.

A most delicate issue to scrutinise thoroughly and amicably to its finest logical solution once an for all - using public resources to facilitate a private political party business is a major liability in the shoulders of donors and taxpayers alike.

Who paid for the fuel in the expensive vehicles tha our RCs, DCs Cabinet Ministers, CCM MPs and the like may ha used to attend CCM Birthday in lake town of Mwanza? How are the taxpayers liable to pay for their per diems there, food and bed.

In a sense, it all means that whenever a taxpayer undertakes his responsibility and donor agencies believing to commit their hard-earned funds for the developmen purposes of this country, they MUST likewise recognised the fact that that helping hand is equaly OBLIGED without saying any louder that it facilitates fully WHAT IS PURELY CCM business within or outside the country.

Mh Mkulo nani katoa idhini rasilmali zetu zitumike kwa shughuli za kichama?
 
Ni Mtazamo wako japo sio sahihi. Sisi kama senior tulibaki ku-cover dharura kwani umesikia juniors wakilalamika kuwa sisi mafisadi. Tumewapa wananchi heshima ghafla tumukuwa mafisadi? Poor you ?????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!................
 
madaktari mkikosa umoja madai yenu yatapuuzwa" Dr ulimboka natimu yako toeni elimu kwamadaktari hasa waliopo mikoani ili wajue thamani yao kwani madai yenu yanaumuhimu sana.... taifa lilipofika kila taasisi Inapaswa kupigania haki zake jifunzeni kwajamaa wa mjengoni walivyo na umoja kwenye Ishu ya posho mpya? wananchi tunateseka lkn tunawaunga mkono kwani madai yenu yataleta usawa ktk mfumo wa maslahi kwa watumishi wa uma,madaktari eleweni sio kila taasisi/Idara Inaweza kugoma hata kama watumishi wake wanamaisha magumu kuliko yenu? kwenye sakata la Jairo tuliona baadhi yawanasiasa wamesaini posho ya milioni 4 kwasiku je' watawala wanafikili JWTZ wafurahia posho ya sh 215000 au askari polisi wanafurahia 100000 kwa mwezi? amkeni madaktari umoja wenu ndio siraha mnayopaswa kutumia ktk vita hii mnayopigana.

kabisa mkuu walimu nao wajifunze kupitia madokta.
 
Haya ni matokeo ya serikali isiyotoa kipaumbele katika sekta ya afyaa! Hiviii,serikali si watu wazima au maiti? Kama serikali inaongoza watu hai kwa nini kabla ya mambo yote isiangalie afya ya watu ambao wanafanya serikali iwepo? Mimi huwa nashangaa? Ndo maana maandiko yanasema WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA hata hili mpaka tusaidiwe na ULAYA? SIJAWAHI KUONA SERIKALI KAA YA JK,inapiga kampeni ya vazi la TAIFA inasahau AFYA ya Taifa!!!

HIVI ZILE SHEREHE ZA MIAKA 50 ZILITUMIA TSH NGAPI?
 
Safi saaaaaaaaana,mbona wabunge wao walickilizwa na wakati madaktari ndio muhmu sana tena sana sasa nashangaa wao hawackilizwi.why?
 
Jana magamba wamefanya sherehe za mabilioni mwanza na mikoani kote nadhani wengine hata kuamka bado kwa uchovu huku wanaacha binadamu wanateketea kwa kukosa huduma; kama hiyo haitoshi wabunge wa magamba wanashinikiza posho zaidi hawajari hali tuliyonayo muhimbili na kwingineko. But their days are numbered; serious
 
Rais Kikwete anaweza kuwa na mapungufu yake lakini wabunge wa CCM ama kwa makusudi au kutojua ni sawa kama wamekuwa wanatembea na mafuta ya taa! Kwa week nzima wabunge wa upinzani hasa wale CHADEMA na NCCR-Mageuzi wamefanya kila wawezalo ili bunge lijadili zogo la madaktari, lakini wabunge wa ccm chini uongozi 'thabiti' wa spika na waziri mkuu wameangalia upande wa pili.

Kitendo cha waziri wa ccm -waziri wa afya kusimama mbele ya bunge na kusema huduma zinaendelea kama kawaida wala haikuwastua wabunge hawa wa ccm. Badala yake baadhi yao wamenukuliwa wakisema madaktari hawana ruhusa ya kugoma! Hiki ndicho kile Zitto anaita 'out of touch'. Haiwezekani wabunge hawa waseme leo wanajali wananchi wakati wamefanya kila hila ili hoja ya mgomo wa madaktari isijadiliwe.

Binafsi nahisi rais Kikwete amekuwa 'mateka' wa hawa wabunge. Wamekuwa kama spoilt children. Ukiwanyima posho wanasusia miswada, ukiwapa posho wanapitisha miswada ya kuzamisha nchi! Ningekuwa mimi ni Kikwete, ningehutubia taifa, niseme yafuatyo:

1. Waziri wa afya, naibu wake na katibu mkuu wanaachia ngazi,
2. Nitakutana na madaktari within 24 hours
3. Posho za wabunge ni nje wa uwezo wa serikali kwani vipaumbele ni vingi kama huduma za afya
4. Ningewaleza wananchi marekebesho yote yanayotakiwa yanfanyike kwenye sheria ya kutunga katiba mpya, na kuwaambia huo ndio uamuzi wangu hivyo nawataka wabunge wote waridhie marekebisho.

Baada ya hapo awaache hawa wabunge wanaomgeuka wafanye watakavyo - at thier own risk maana nguvu ya umma itawamaliza!
 
Haipendezi hata kidogo kwa mtu mwenye akili timamu kushabikia mgomo wa madaktari...!!!
Mgomo wa madaktari ni jambo la kusikitisha sana, maana yake kuna watu wanakufa kwa kukosa
matibabu...kama mkeo/mumeo amepelekwa MNH akakutana na huo mgomo unaweza shabikia??
Jambo la msingi ni kuihimiza serikali yetu tukufu iwasikilize haraka madaktari kama ilivyofanya kwa
wabunge, maana karibia waalimu wataanza, kisha mahakimu watafuatia, halafu sijui nani tena wanajeshi au???

Hapo kwenye RED you have missed the point!!!!! Serikali tukufu isiyojari maslahi ya watumishi wake muhimu kama madaktari?

Umeharibu mtiririko wote wa mawazo mazuri uliyokuwa nayo.

Tiba
 
Yeyote anayeshabikia mgomo wa madaktari anapaswa kupimwa utaahira wake kama utakuwa umepungua.
 
Huelewi unachokijadili Vasco Dagama aliondoka kwenda Davos wakati mgogoro bado mbichi kabisa.. Kama mkuu wa kaya walau angebaki nchini ili ufumbuzi upatikane, na doctors waendelee na kz,. Unawezaje kudai Mbowe kasafiri nje nyuma ameacha mgogoro yeye kama nani, kumbuka CDM kupitia Mnyika walikwisha toa tamko. Sasa sielewi unawezaje kuhusianisha safari ya Mbowe na mgomo. Mwambie JK atatue tatizo.

ndugu,nakushauri uache kumkimbiza kichaa,si unaona wanajf tulishaamua kumuach
 
Back
Top Bottom