Wikiendi nitapita hapo kwenda buyuni.Uje Kimbiji sasa tuizindue.. Na kuna vifusi vya kienyeji huku kama vyote
Sawa kaka mkubwaNitakuwa Kibada then..please tuwasiliane
Nina Carina si, baada ya kubadilisha oil seal gari inatoa moshi sana ukipiga silence...Oil kuvuja kuna mawili
Oil seal imechoka au knob ya kumwaga oil haijakazwa
Check hayo mawili
Sio kweli ila ikifanyika vibaya ndio basi tenaNina Carina si, baada ya kubadilisha oil seal gari inatoa moshi sana ukipiga silence...
Fundi kanishauri kufanya overhaul, kuna mtu kaniambia ukifanya hivyo hiyo inakuwa siyo gari tena.., ushauri wataalam..
Engine nzuri ya Carina Si naweza kupata kwa bei gani?Sio kweli ila ikifanyika vibaya ndio basi tena
Kati ya laki 5 na million mojaEngine nzuri ya Carina Si naweza kupata kwa bei gani?
Asante mkuu, kumbe yaweza kuwa afadhali kutafuta engine kuliko kufanya overhaul, kwakuwa gharama kama vile zinalingana....
Achana na overhaul chukka kitu kizima utaokoa mengiAsante mkuu, kumbe yaweza kuwa afadhali kutafuta engine kuliko kufanya overhaul, kwakuwa gharama kama vile zinalingana....
Namna ya kupata hiyo engine nzuri sasa...., Mshana kukupata kwa PM, naona haiwezekaniAchana na overhaul chukka kitu kizima utaokoa mengi
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Kama imetunzika ni gari nzuri chukua bila shakaMkuu MShana Jr naomba uzoefu wako kwa Rav4 kili time huwa inachangamoto gani nataka niichukue kwa mtu
NakupmNamna ya kupata hiyo engine nzuri sasa...., Mshana kukupata kwa PM, naona haiwezekani
Mhh hapo jipange uwe na 5m mkononiWakuu habari, mwenye ujuzi naomba anisaidie approximation za kuiridisha barabarani hii gari kama inavyoonekana kwenye picha. Kila kitu kipo kasoro engine na gear box. Inatumia engine ya EJ20. Kuhusu body nataka ku replace hizo sehem zote zilizoharibika wala si kunyoosha. View attachment 1921705
View attachment 1921706
View attachment 1921707
View attachment 1921708
View attachment 1921709
Ni Subaru Forester ya mwaka 2004
inawza kuhimili mikiki mikiki ya milima ya mbezi makabeKama imetunzika ni gari nzuri chukua bila shaka
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Bila Shaka kabisainawza kuhimili mikiki mikiki ya milima ya mbezi makabe