Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,249
- 1,277
Nashukuru mkuu, huwa naifanyia baada ya KM2500
kwasababu gari ni lako na unalipenda si mbaya ila kama gari haina miaka mingi sana na mashine bado nzima fanya km 3000 ni sahihi kabisa hyo ya 2500 ni matumizi mabata ya pesa mkuu km 500 izo unakua umesogea kidogoNashukuru mkuu, huwa naifanyia baada ya KM2500