By TOM ODULA | Associated Press
NAIROBI, Kenya (AP) A grenade attack at one of the main bus stations in Kenya's capital killed at least four people and wounded 40 others Saturday, officials said, in the latest bloodshed blamed on sympathizers of Somalia's al-Qaida-linked insurgency.
Witnesses reported that people in a moving car hurled three grenades at the outdoor terminal, police spokesman Charles Owino said. Government minister Esther Murugi, who spoke after visiting Nairobi's main hospital where the wounded were brought, said six needed emergency surgery. Earlier, a Red Cross official said 12 people were in critical condition.
Bus station blasts in Kenya's capital kill 4 - Yahoo! News
Msaada wa mawazo kwenye Hyundai Tucson CC1998 ya mwaka 2006, hasa kwenye upatikanaji wa vipuri, ughari wa matengenezo yake(service cost), ulaji wa mafuta na urahisi wa upatikanaji matengenezo. Mawazo yenu mhimu kabla sijadumbukia shimoni. Shukrani
et wakuu gari yakutumia diesel si inaweza shtuliwa ikawaka bila battery?
et wakuu gari yakutumia diesel si inaweza shtuliwa ikawaka bila battery?
Hahaha Umeikumbusha kitambo sana mkuu, hilo jambo tumewahi kulifanya ila kwa sasa magari yana umeme mwingi sana sidhani kama inawezekana
1KZ ni engine bomba sana
Vipi kwa ajili ya biashara ya daladala maana mie nipo Mwanza na huku mafundi wanadai 3l na 5l ndo zinastahimili. Vilevile ndo zipo nyingi ktk biashara hii. Pia nikiangalia bei naona 1kz zina bei nafuu kuliko 3l na 5l lkn hazitumiwi sana kwenye biashara.
Changamoto yake kubwa ni vile kanaitwa ka babywalker lakini mengine yote kako vizuri mno kuanzia ulaji wa mafuta ubora wa engine na gearbox, uimara wa body, speed na upatikanaji wa vipuri.... Kachukue kama bado hutajutia
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo utunzaji na kadhalika.
Watu wengi wametapeliwa kwenye mauzo na manunuzi, kwenye nyaraka, kwenye vipuri kwenye matengenezo na hata matumizi.
Kwa Uzi huu basi kila mwenye ujuzi, uzoefu, ushauri au mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
Ushauri: Jinsi ya kununua gari iliotumika ndani ya Tanzania
View attachment 225786
nashukuru kwa kuleta huu uzi mhimu sana hapa jukwaani. Naomba kujua changamoto za kiufundi au mapungufu au matatizo ya gari aina ya Townace Noah kama unayafahamu. Nategemea kulinunua ambalo limetumika hapa tz na limetembea Km 35,000 tu. Nitegemee kukutana na changamoto gani? natanguliza shukrani