Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wadau nina shida kwenye Toyota Altezza, gari inatembea fresh ila unapokanyaga mafuta na RPM inapofika 2(2000 rpm) au karibu na hapo naskia gari inakuwa inatoa muungurumo nisiouelewa....Yani inakuwa something like gari ina mafua, na pia huwa inatokea ninapopanda milima nikiwa kwenye iyo RPM...Plus inaposhift kutoka gear no 1 kwenda 2, inakuwa kama inakita.....nimebadili Plugs mara 3 lakini naona hali ni ile ile...Gari ni Toyota Altezza, Engine ni 4 cylinders YAMAHA 3S,

Nilishawahi kutana na shida kama hiyo kwenye Altezza, though yenyewe ina 1G, nikajaribu kucheki plugs zote ziko poa. Jamaa mmoja akashauri kusafisha air cleaner tu, nikafanya hivyo na shida ikaisha kabisa. Akasema hizo gari zina sensors fluni huko kwenye air cleaner, zikijaa vumbi hewa inashindwa kwenda vizuri kwenye kabuleta. So, jaribu kupuliza upepo kama ikimaliza tatizo, uifanye regularly, sio mpaka siku ya service.
 
Jamani natafuta corolla 110 iwe katika hali nzuri isiwe rangi nyeupe bajeti ml 3 mwenye nayo ani pm au 0754 065573
 
Nahitaji corolla 110 bajeti ml 3 ml aliyenayo tuwasiliane 0754065573 iwe katika hali nzuri na rangi nyeupe
 
Mods Invisible na Paw imekuwaje hii post imehamishiwa kwenye jukwaa la nafasi za kazi na tenda? Mbona haviendani kabisa?
 
Last edited by a moderator:
nahitaji kujua garama ya kununua gari aina ya NOAH kutoka japan hadi tanzania mpaka lifikie matumizi sh. ngqpi MCHANGANUO TAFADHALI..
 
Wadugu...naomba kujua....nahitaji kujiunga na chama cha waendesha passo mjini...sasa kuna za cc990...cc 1000 na cc 1290....naomba msaada wa kujuzwa injin ipi bora katika hizi??! Asante

Mkuu hizo zote ni bora, ungefafanua ubora katika nini eg. ulaji wa mafuta etc
 
1. Engine oil BP sh 60,000/- oil filta ya kawaida sh 10,000/- Gia boxi oil BP sh 80000 service charge sh 15000/-.

2. Fire extinguisha 1kg sh 20,000 hadi 25,000 pale mileniam tawa kwa nje

3. Triangle 2 sh 8000

4. Bima kwa gari ya 10mil comprehensive sh 300,000 ila naskia siku hizi wameongeza na vat so andaa sh 400,000. Ila kwa magari used haya ya kijapani huwa tunaweka third party (kama wewe ni dereva mzoefu na sio Lena) sh 100,000 may be plus vat 118000.

Maelezo mazuri mkuu. Ila kwenye Bima haijalishi gari ni second hand au kama mtu ni lena au la kwa sababu hata wasio malena hupata ajali tena mbaya zaidi. So ajitahidi kupata comprehensive akishindwa ndo aende kwenye third part
 
Wakuu hivi nikiwa nimeweka comprehensive insurance nafaidika nini?, kwasababu nikigongwa mlipaji anaenda kunitengenezea gari, nikigonga inabidi mimi nikamtengenezee gari. Cc mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hivi nikiwa nimeweka comprehensive insurance nafaidika nini?, kwasababu nikigongwa mlipaji anaenda kunitengenezea gari, nikigonga inabidi mimi nikamtengenezee gari. Cc mshana jr

Ina faida nyingi sana, kumbuka hakuna kitu kinachokera kama kutengenezewa gari yako na bima ya mtu mwingine lakini ukiwa na comprehensive unapeta tu...
Halafu kumbuka comprehensive sio kwa ajili ya ajali tu bali kuna, wizi,moto,majanga ya kiasili kama mafuriko na kimbunga, nk nk
Hivyo nakushauri usiache kukata comprehensive
 
Last edited by a moderator:
Untitled-1 copy.jpg
 
Back
Top Bottom