Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mie always huwaga naweka premium na kubadilisha kila 3000 km na filter yake. Kumbe huwaga najipunja eeenh!?
Unajua walioweka hicho kiwango ni werevu kwakuwa unaweza kuwa safari ya mbali na service ikaangukia mahali ambako bado si chini ya km 1000 ufike uendako ndio ufanye service
Kwahiyo kupitisha service si jambo baya mara moja moja lakini usipitishe zaidi ya km 1000 unapunguza uhai wa mashine na kuiletea gari magonjwa
 
Mshana jr na wataalamu wengine habari zenu
nina gari RS200 Alteza mashine ni 3s sxe10. taa ya ECT POWERi kwenye dashboard inawaka kwa kublink kama nimeingage ECT button sasa gia zinaingia kwa kuchelewa na gar inashtuka inapochange gia na inachelewa kuchanganya acceralator inaishia kwenye namba tatu hata ukanyage pedal mpaka mwisho na kuna mda inakua nzito na inachelewa kuchanganya kufika 120 ilikua mater of 5 to 9 second lakin sasa haiwezi aidha, imechange mlio na kuwa kama nimefunga mafla.
Nilipeleka kwa fundi tukapima kwenye mashine ikaonekana faults akaifuta nikatembea kama wiki ikarudi tena tukachange ATF na kutoa betri kufuta kumbu kumbu mannual baada ya mashine kushindwa bado inawaka tu siona raha ya gari kwa sasa nipo Lindi.
 
Mshana jr na wataalamu wengine habari zenu
nina gari RS200 Alteza mashine ni 3s sxe10. taa ya ECT POWERi kwenye dashboard inawaka kwa kublink kama nimeingage ECT button sasa gia zinaingia kwa kuchelewa na gar inashtuka inapochange gia na inachelewa kuchanganya acceralator inaishia kwenye namba tatu hata ukanyage pedal mpaka mwisho na kuna mda inakua nzito na inachelewa kuchanganya kufika 120 ilikua mater of 5 to 9 second lakin sasa haiwezi aidha, imechange mlio na kuwa kama nimefunga mafla.
Nilipeleka kwa fundi tukapima kwenye mashine ikaonekana faults akaifuta nikatembea kama wiki ikarudi tena tukachange ATF na kutoa betri kufuta kumbu kumbu mannual baada ya mashine kushindwa bado inawaka tu siona raha ya gari kwa sasa nipo Lindi.
Hii inataka full computer diagnosis kwenye gearbox na system yake sio vizuri kufanya guess work kwenye gari Kama hiyo
 
natafuta new model spacio used namba D kwa yeyote alionayo my bajeti 9M
 
Hii nyuzi ilianzishwa makusudi kwa kudili na Magari, uzoefu, ushauri na maswali, sio kwa matangazo. Mkuu allenngololo kuna jukwaa la matangazo ingefaa zaidi upeleke matangazo yako kule mkuu, samahani lakini mkuu
 
Ila bado akisubiri zifike bado si mbaya pia..kibaya ni kupitisha km tena kupitisha nyingi
Wanajamvi utaalamu wa Oil za gari uko Hivi;
1. Ni kweli oil zina quality kutokana na additives zinazowekwa kwa kila aina ya oil ili kuendana na mazingira ya inapoenda kufanya kazi. Mfano mazingira ya joto kali, baridi sana, kemikali, aina ya mafuta engine inatumia nk. Kwa hio unatakiwa ununue oil yako kuendana na aina ya engine ya gari yako but pia kama engine ni mpya au used. Hizi engine mpya na used hutumia oil tofauti pia.
2. Kwamba oil inatakiwa itumike mpaka KM fulani ni KWELI but only and if ONLY hio gari itafikisha hizo KM kwa muda usiozidi mie 3 au saana 4 TU.
Kwa nini Basi;
Ni hivi : Oil inapotoka kwenye Container lake hapo hapo hata kama haitumiki process ya Oxidation (kwa mliosoma chemistry mtaelewa vzr) huanza. Kwa hio miezi 3 au saaana 4 oil hua imeshapoteza quality yake kabisa kwa sababu ya oxidation na carbonisation inayotokea wakati engine inafanya kazi.
Hii ina maana kwamba hata ukiweka Oil mpya leo na usitumie hio gari kwa miezi 4 ukirudi badilisha oil yako kwa sababu tayari itakua ime expire kwa ku oxidise na fungus growth kwa ajili ya kutuama muda mrefu bila kazi.
Ahsanteni. Nimekatiza kueleza ila najua mtaelewa angalau.
 
Wanajamvi utaalamu wa Oil za gari uko Hivi;
1. Ni kweli oil zina quality kutokana na additives zinazowekwa kwa kila aina ya oil ili kuendana na mazingira ya inapoenda kufanya kazi. Mfano mazingira ya joto kali, baridi sana, kemikali, aina ya mafuta engine inatumia nk. Kwa hio unatakiwa ununue oil yako kuendana na aina ya engine ya gari yako but pia kama engine ni mpya au used. Hizi engine mpya na used hutumia oil tofauti pia.
2. Kwamba oil inatakiwa itumike mpaka KM fulani ni KWELI but only and if ONLY hio gari itafikisha hizo KM kwa muda usiozidi mie 3 au saana 4 TU.
Kwa nini Basi;
Ni hivi : Oil inapotoka kwenye Container lake hapo hapo hata kama haitumiki process ya Oxidation (kwa mliosoma chemistry mtaelewa vzr) huanza. Kwa hio miezi 3 au saaana 4 oil hua imeshapoteza quality yake kabisa kwa sababu ya oxidation na carbonisation inayotokea wakati engine inafanya kazi.
Hii ina maana kwamba hata ukiweka Oil mpya leo na usitumie hio gari kwa miezi 4 ukirudi badilisha oil yako kwa sababu tayari itakua ime expire kwa ku oxidise na fungus growth kwa ajili ya kutuama muda mrefu bila kazi.
Ahsanteni. Nimekatiza kueleza ila najua mtaelewa angalau.
Naomba usikatize tafadhali endelea binafsi nimejifunza kitu hapa..endelea kadiri ya ufahamu wako wengi wanasaidika hapa
 
Naomba usikatize tafadhali endelea binafsi nimejifunza kitu hapa..endelea kadiri ya ufahamu wako wengi wanasaidika hapa
Mkuu utaalamu wa oil ni mpana sana but lengo langu ilikua kutoa basic knowledge tu ambayo kwa kweli itamsaidia mtu uelewa wa kutosha tu kwa ajili ya gari yake. Siwezi sema sana nitawachanganya wengine bcoz terminology nyingi ni za ki science zaidi.
Lakini kwa kifupi ndio hivo kama nilivyosema hapo juu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1457029145.402945.jpg


Wakuu hizi gari vip? Sio jipu kweli?
ImageUploadedByJamiiForums1457029178.602858.jpg
 
Back
Top Bottom