Macho makavu - aibu tena ya kike hakuna?

siku hizi hatuna aibu, maana wanaume wanatudanganya sana, tunaangaliana usoni kusoma lugha ya mwili, tunaongea straight ili tujue msimamo tupo wapi tustarehe au ndoa.

Hata tukiwa na wenzetu tunayaongelea waziwazi kufundishana au jokes

wanaume mkitusikia lazima aibu iwapatw nyie loh.... Sie macho makavuuuuu

ila serious utandawazi umechangia sana. Watu wapo huru na wawazi sasa aibu za nini? Mapenzi, sex huongelewa kwa uwazi na kuonekan kitu cha kawaida si cha kuonea haya. Hata majumbani mzazi(wa siku hizi) huongea wazi na watoto wao, kazi ambayo ilikuwa inafanywa na mashangazi....
 
Hahhhh jamani maisha ya sasa kwa kweli ni tabu tupu. But tukumbuke kuwa ukiona vyaelea jua vimeundwa. Vijana wetu wa siku hizi hawafundwi na kosa linarudi kwetu sie wazazi na walezi. Siku hizi wote twafanya kazi, baada ya kazi kuna mashoga, sijui family friends sijui friends, dinners, disco - Bakulutu, Kitambaa cheupe and the alike. Watoto wanakunzwa na wasaidizi wa ndani na maTV na ma DSTV ambako wanajifunza yasofunzwa. Hivi kwa maisha ya hivi ni saa ngapi binti atajua kuwa mwili wake ni hazina na haipaswi kutupiwa wazi kwa kila nguruwe apitaye barabarani?? Saa ngapi watajua namna ya kuhandle changamoto za dunia?

Kwa hili mimi situpi lawama kwa watoto peke yao bali hata kwetu sie wazazi.
 
siku hizi hatuna aibu, maana wanaume wanatudanganya sana, tunaangaliana usoni kusoma lugha ya mwili, tunaongea straight ili tujue msimamo tupo wapi tustarehe au ndoa.

Hata tukiwa na wenzetu tunayaongelea waziwazi kufundishana au jokes

wanaume mkitusikia lazima aibu iwapatw nyie loh.... Sie macho makavuuuuu

ila serious utandawazi umechangia sana. Watu wapo huru na wawazi sasa aibu za nini? Mapenzi, sex huongelewa kwa uwazi na kuonekan kitu cha kawaida si cha kuonea haya. Hata majumbani mzazi(wa siku hizi) huongea wazi na watoto wao, kazi ambayo ilikuwa inafanywa na mashangazi....
You must be kiddin me..what an excuse..
 
Mpolee

Ungeambiwa ujipime wewe ungejiweka kwenye kundi gani?


kati ya wenye son na wasio na son? Sinaga soni za kijnga. Kama kumsemesha me huk namkazia paj lake la uso ni kukosa soni wamenikosa. Njia ya kumsoma me akikupa mstari ni kumkazia macho usoni kwake il kukua akutaman kias gan.
 
nishawahi rusha sred hapa kua me wako threatened na ke anaejtambua! Haya maelezo ya Mwana kjj ni udhibtsho tosha.
 
watu walikuwa wanazungumza mambo ya mapenzi kwa staha, heshima, na kujali nani anasikiliza. HIvyo, kuna mambo ambayo dada zetu hasa wasingeweza kuyazungumza mchana
Umeanza na "watu walikuwa na...staha, heshima..." halafu ghafla ikageuka kuwa "hivyo...dada zetu...wasingeweza kuyazungumza...."

Imetokaje kwenye ''watu'' kutakiwa kuwa na heshima kwenda kwenye ''hivyo dada zetu''? Kwanini ume target na kushambulia ''dada zetu''? Mwanamme yeye hatakiwi kuwa na heshima na staha?

Huu ni mfumo dume wa kizamani, eti mwanamme yeye awe huru kuongea machafu chafu bila heshima wala staha na kutembea kifua wazi barabarani akitaka, halafu mwanammke ndio awe na "aibu... staha... heshima... afunike sketi haraka kama ikipeperushwa..." ili awe "sexy." How preposterous! Male chauvinism of the most ridiculous kind.
 
Kujitambua ni kukosa kuona haya?


kujtegemea. Kudemand unachotaka na kuhakksha wakpata kwa namna yyte ile. Kutoegemea wala kujali vidume vinataka nn. Kua mbinafs kuwazd hayo ni machache. Wanatudharau sana hawa. kumuangalia mtu bila shobo za kijnga nayo nikujiamn. Vip ww unaoana kujtambua kukoje?
 
kujtegemea. Kudemand unachotaka na kuhakksha wakpata kwa namna yyte ile. Kutoegemea wala kujali vidume vinataka nn. Kua mbinafs kuwazd hayo ni machache. Wanatudharau sana hawa. kumuangalia mtu bila shobo za kijnga nayo nikujiamn. Vip ww unaoana kujtambua kukoje?

Mie bado najifunza Mpoleee, lakini naamini unaweza kujitambua na ukaendelea kuwa modest, respectful na bashful vile vile.

Naamini kujitambua hakumfanyi mtu kukosa haya wala heshima. Kuondoka kwenye utegemezi hakutaki lazima mwanamke awe completely kama mwanamme pia.
 
  • Thanks
Reactions: bht
I wish nipate mwanamke asiekua na aibu ila mwenye haya na staha!
 
asiyekuwa na staha wanaume wengi huamua kuyeya kimya kimya
595.gif

Ayeya..........................Asusa!!...dah we mkare mkuu,kitambo sana lugha hizi!
 
Cku hizi mambo yamebadilika sn,hata zile aibu za kutafuna kucha wakati wa kutongozwa hakuna tena,cku hizi kuna wenye ujacri wa kumtokea mwanaume!mie nafikiri hata malezi hasa ya huku mjin yamechangia sn,ila kale kaibu ka kike ni muhimu kuwa maintained!cku moja kwenye daladala mdada alipokea cm anaongea na buzi lake nilitaman kujificha bila haya anamsifia jamaa kwa gemu aliyompa mpaka na maumbile ya jamaa haki ya nani watu walibaki kuguna na kutizamana tu!

Shauri yako, babu yako akiona hii lazima zitembee bakora tu!
 
Mie bado najifunza Mpoleee, lakini naamini unaweza kujitambua na ukaendelea kuwa modest, respectful na bashful vile vile.

Naamini kujitambua hakumfanyi mtu kukosa haya wala heshima. Kuondoka kwenye utegemezi hakutaki lazima mwanamke awe completely kama mwanamme pia.



kwan kua m/ke au m/me ni kupi?
 
Mie bado najifunza Mpoleee, lakini naamini unaweza kujitambua na ukaendelea kuwa modest, respectful na bashful vile vile.

Naamini kujitambua hakumfanyi mtu kukosa haya wala heshima. Kuondoka kwenye utegemezi hakutaki lazima mwanamke awe completely kama mwanamme pia.


kuna sredi ya last week bana EMT anashauri wadada kujua personalities tofauti za kwao na ipi wai-apply wapi.nitazame usoni,niambie yote nasty unayotaka kusema kama hiyo inakufanya ujisikie 'mwanamke' zaidi na 'kujiamini' na 'uhuru' unaoutaka lakini..........ANGALIA WAPI NA NANI WANATUNZUNGHUKA KABLA 'HUJATAFUTA UHURU NA UANAMKE WAKO!!!


hapo nilipo-bold,U NAILED IT,MWALIMU!
 
Mademu wasikuhizi wanavaa mlegezo kuna aibu tena hapo??zamani kuonyesha shanga ulikuwa niutovu usiosameheka kwenye jamii!!sikuhizi zinauzwa mtaani na watoto wanaona mimi mpaka namaliza la 7 sikujua wapi zinatoka na sikuwahi kuziona kwenye mwili wa mwanamke zaidi ya kuziona kwa watoto wadogo waliozaliwa walikuwa wanafungwa kiunoni!!
Ila wadada wanaziachia makusudi ili uone utamanike utongoze!!
 
Mie bado najifunza Mpoleee, lakini naamini unaweza kujitambua na ukaendelea kuwa modest, respectful na bashful vile vile.

Naamini kujitambua hakumfanyi mtu kukosa haya wala heshima. Kuondoka kwenye utegemezi hakutaki lazima mwanamke awe completely kama mwanamme pia.


kwan kua me na ke ni kup?
 
Mwanamke hulka..pia kuwa na soni ni kitu muhimu! Acha utandawazi na mabadiliko ya hali ya maisha ichukue mkondo wake ila mwanamke abaki kuwa na aibu fulani..
 
Back
Top Bottom