Mtafiti1
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 263
- 148
Umeanza kwenda nje ya mada. Kazi yako, utaanzishiwa thread...
:focus:
Sometimes wanaume pia hawana aibu, tuseme tu ukweli.
Unakuta mwanaume anatongoza kwa kutumia maneno ambayo hata kwa kuyasoma peke yako chumbani utaona aibu!
Alafu the way anataka akushike shike... unamsalimia kwa mkono anakukuna hivi in the palm, au anataka akuvute, akukiss huku humjui hakujui, ndo kwanza mmekutana! shame...
Mimi nitawalaumu wanaume.Ukiwa mwanamke wa heshima, una staha na aibu, mumeo au bf wako hakawii kukupa shock kwa kuparamia migumegume na mikurumbembe! Wanaume wenyewe wamekosa adabu sana siku hizi, wanashobokea sana malaya. Nyumbani hatoi matumizi, kutwa kwenda kuhonga malaya! Maokeo yake wasichana wadogo wanaochipukia wanafikiria ukiwa na tabia za kimalayamalaya ndio unavutia wanaume.Sasa sijui mnalalamika nini wakati nyie ndio mnaonyesha mnayotaka - nataka sitaki mnachanganya wanawake! Jirekebisheni nyie wenyewe kwanza.