Maboresho ya Kuwapa Kinga TISS na Ukodishwaji wa Bandari ya Dar ni kifo Kwa Watanzania

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,520
86,074
Hii thread ni fupi isichanganywe

Iko hivi, KINGA ya Wana TISS kwenye Ile Document iliyopelekwa Bungeni (kikao Cha Wana CCM) pamoja na hii issue ya Bandari butakia ndio mwisho wa Tanzania.

Kama itatokea TISS wakaungana kulinda maslahi ya WABIA hawa wapya na ikatokea Baadhi yetu tukapinga ina maana TISS watakua na uwezo wa "kutumaliza/kutunyamazisha" bila kuchukuliwa hatua yoyote Ile.

Hizi ni events mbili ambazo hazijaja Kwa bahati mbaya hata kidogo. Na Kwa Sasa hakuna mbunge yoyote Bungeni atakayeweza kupinga Chochote. I wish CHADEMA wangekuepo
 
Hii thread ni fupi isichanganywe

Iko hivi, KINGA ya Wana TISS kwenye Ile Document iliyopelekwa Bungeni (kikao Cha Wana CCM) pamoja na hii issue ya Bandari butakia ndio mwisho wa Tanzania.

Kama itatokea TISS wakaungana kulinda maslahi ya WABIA hawa wapya na ikatokea Baadhi yetu tukapinga ina maana TISS watakua na uwezo wa "kutumaliza/kutunyamazisha" bila kuchukuliwa hatua yoyote Ile.

Hizi ni events mbili ambazo hazijaja Kwa bahati mbaya hata kidogo. Na Kwa Sasa hakuna mbunge yoyote Bungeni atakayeweza kupinga Chochote. I wish CHADEMA wangekuepo
Daaah
 
Hii thread ni fupi isichanganywe

Iko hivi, KINGA ya Wana TISS kwenye Ile Document iliyopelekwa Bungeni (kikao Cha Wana CCM) pamoja na hii issue ya Bandari butakia ndio mwisho wa Tanzania.

Kama itatokea TISS wakaungana kulinda maslahi ya WABIA hawa wapya na ikatokea Baadhi yetu tukapinga ina maana TISS watakua na uwezo wa "kutumaliza/kutunyamazisha" bila kuchukuliwa hatua yoyote Ile.

Hizi ni events mbili ambazo hazijaja Kwa bahati mbaya hata kidogo. Na Kwa Sasa hakuna mbunge yoyote Bungeni atakayeweza kupinga Chochote. I wish CHADEMA wangekuepo
Chadema nao wanalamba asali tu
 
Hii thread ni fupi isichanganywe

Iko hivi, KINGA ya Wana TISS kwenye Ile Document iliyopelekwa Bungeni (kikao Cha Wana CCM) pamoja na hii issue ya Bandari butakia ndio mwisho wa Tanzania.

Kama itatokea TISS wakaungana kulinda maslahi ya WABIA hawa wapya na ikatokea Baadhi yetu tukapinga ina maana TISS watakua na uwezo wa "kutumaliza/kutunyamazisha" bila kuchukuliwa hatua yoyote Ile.

Hizi ni events mbili ambazo hazijaja Kwa bahati mbaya hata kidogo. Na Kwa Sasa hakuna mbunge yoyote Bungeni atakayeweza kupinga Chochote. I wish CHADEMA wangekuepo
 
Back
Top Bottom