Kama wamevaima shamba la MTEI nawaunga mkono 100%
Wacha watu wakajigie maeneo yao. Juzi walivamia shamba la doly mpaka mama wa kizungu akaomba asiuawe, kwani yupo tayari wagawane ekari tatu tatu, na yeye akagawiwa ekari tatu.
Wananchi wa Meru hawana mchezo