Mabomu yaendelea Kurindima Zanzibar!

Inaonesha kuchomwa makanisa imekuuma hebu ichunguze hiyo dini yako kama ni ya haki mwenyewe unijuwa kama ni yakubuni upo huko kwa maslahi zaidi hebu hayo majanga yanayotokezea huko kwenu bara mmechoma makanisa naona yapo mengi tu kuanzia gongo la mboto mpaka migomo ya mdaktari ucjifanye una uchungu na makanisa wakati yale ni mabanda ya masanamu tu hayana umuhimu wowote kuwepo zaidi ya kudanganyana tu. 'ALWAH AKBAR'

maghala ya silaha yamefunguliwa sasa
 
hiyo zanzibar yao wanaitaka kutoka wapi?
wana raisi mzanzibari...
makamu 2 wazanzibari.....
mawaziri wazanzibari........
wabunge wazanzibari....

halafu hawa ndo walitaka vyombo vya bara vionyeshe msiba, wenyewe wanachoma matairi? loh...
bado wanadai zanzibari, zanzibari ipi?
 
binafsi yangu naona logic kwenye madai yao!
Badala ya kuruhusiwa kuukubali au kuukataa muungano tunaambiwa "tuboreshe" muungano? Kuna haja gani ya kumrekebisha mke ambaye uliozeshwa na baba yako wakati hazai? Mke mzuri ni yule wa kuozeshwa au uliyemtongoza mwenyewe?...

Wapewe zanzibar yao ili nasi 'waoga' tupate tanganyika yetu kwenye silver plate.

tena wapewe talaka tatu
 
i get some point here from zanzibarians,nafikiri wao hata kuanzisha mijadala ya kisiasa katika hili swala la msiba yote inatokana na kutokuaminiana.let say maybe ile meli ilikua overloaded na ikaruhusiwa kusafiri.but maybe wana-think kwamba ingekuwa wao wasingeruhusu iondoke then ajali isingetokea.na ni kweli inawezekana kabisa kwamba vifo hivi vinatokana na uzembe tu wa custom wetu pale Serikalini bongo.kwa sasa bongo kila kitu illegar kinaweza fanywa kuwa legar in a minute ukishahonga.sasa hatuwezi jua BBC wametangaza kuwa zaidi ya watu 800 wamekufa pale.huku kwetu tunaambiwa Hawazidi 200
 
Zanzibar... The future somalia
 

Attachments

  • SADAM.jpg
    SADAM.jpg
    35.6 KB · Views: 31
Binafsi yangu naona Logic kwenye madai yao!
Badala ya kuruhusiwa kuukubali au kuukataa Muungano tunaambiwa "Tuboreshe" muungano? Kuna haja gani ya kumrekebisha mke ambaye uliozeshwa na baba yako wakati hazai? Mke mzuri ni yule wa kuozeshwa au uliyemtongoza mwenyewe?...

Wapewe Zanzibar yao ili nasi 'Waoga' tupate Tanganyika yetu kwenye Silver plate.

Hapo kwenye red, huo ni unyanyapaa kwa wamama wenye tatizo hilo - use sense and utu and ubinadamu....
 
waulizeni wachina walichofanywa Tiananmem square 1989

Tianasquare.jpg
images

images
images

Hiyo picha na zile za yaliyotokea Ruanda na Burundi ndizo zinazotumiwa na "watawala" ili kutujaza hofu tu tusitafute ukombozi. Ni kwa kutumia picha hizo, ndizo zinazotufanya tuwachague tena na tena (ukiachia dhana ya uchakachuaji wa matokeo).

Hivi tutakuwa waoga mpaka lini? Ni majanga mangapi ya kizembe yanayoangamiza ndugu na jamaa zetu? MV Bukoba, Mabomu ya Mbagala na Gongolamboto, vifo migodini, vifo kwenye maandamano....na bado tupo "tunasubiri ushahidi kamili".

Siku za karibuni wameanza lugha za kiajabuajabu "Ni upepo utapita, Liwalo na liwe, Suala liko mahakamani..." na bado tupo tu. Watatumaliza hawa na bado tupo tu.
 
Tatizo letu huku Bara ni waoga!
Wengine tuko busy na kuganga njaa zetu
hakuna aliye tayari kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine..
Anza wewe kisha wengine watafuata. Kwa kufanya hivyo utajitenga na hicho unachosema tatizo la wabara. Vinginevyo, na wewe ni mganga njaa tu.
 
Taharuki msibani!
Baada ya kikundi cha Uamsho kuanza pilika pilika na Jeshi la polisi pale saa 11 jioni, Hadi sasa bado maeneo mengi visiwani Zanzibar hali imeendelea kuwa Tete kwa kuwa watu wengi wamejitokeza na kuanza kuwasha matairi na kufunga Barabara maeneo ya Mkunguni,Darajani na maeneo mengine!..
Taarifa ni kwamba sasa madai yamegeuka na Watu wanasema Wanataka Uhuru wa Zanzibar!..


Syria ya pili inakuja Zanzibar. UN Resolution will sit sometimes soon

 
Muungano ulisha vunjika kwenye mioyo ya wananchi ya wa zanzibar kinachofanyika sasa hivi ni kuendelea kuulazimisha uzidi kustawi kwenye mioyo ya viongozi ambao kwa kiasi kikubwa wao ndio wanaonekana wana maslahi nao.

Nawaunga mkono katika kudai uhuru wao halahala makanisa tu wasiyachome
 
Inaonesha kuchomwa makanisa imekuuma hebu ichunguze hiyo dini yako kama ni ya haki mwenyewe unijuwa kama ni yakubuni upo huko kwa maslahi zaidi hebu hayo majanga yanayotokezea huko kwenu bara mmechoma makanisa naona yapo mengi tu kuanzia gongo la mboto mpaka migomo ya mdaktari ucjifanye una uchungu na makanisa wakati yale ni mabanda ya masanamu tu hayana umuhimu wowote kuwepo zaidi ya kudanganyana tu. 'ALWAH AKBAR'

KAJIUNGE NA ALSHABAB,UAMSHO,BOKO HARAM... Kasome QURAN 9:5. Halafu JILIPUE. Uende Peponi
 
[/B]280829]Tatizo letu huku Bara ni waoga!
Wengine tuko busy na kuganga njaa zetu
hakuna aliye tayari kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine..[/QUOTEA
BABA WEWE NDO UMESEMA UMAMALIZA, NAONGEZA SIO TU WAOGA HATA UHURU MWALIMU ALIPEWA TU KAMA KARANGA ZA KUONJA.....WENZETU MAPINDUZI YALIPATIKANA KWA NGUVU KWAHIYO WANA UZOEFU....NA UCHUNGU WA UHURU WAO....SISI TUENDELEE KUWA MAZEZETA TUIBIWE TUKOME UBISHI.....WAZENJI ENDELEENI KAZA BUTI HAKUNA KULALA....MTAFANIKIWA HAKUNA HAKI INAPATIKANA KIRAHISI....!!!!
 
Tutakuwa hatuna siri sisi watanganyika...maana kuna mzanzibari alishakuwa ikulu na anatujua nje ndani (mwinyi)
 
Back
Top Bottom