Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau naomba kuweka hoja,
mabadiliko ya ccm wanayo yaita kujivua gamba yasitufanye tuache hoja yetu ya msingi toka kuisha kwa uchaguzi mkuu wa mwaka jana, hoja hii ni madai ya katiba mpya
naweka angalizo hili kwa kuwa nafahamu watanzania huwa hatuna ajenda za kudumu daima tunakuwa tunapelekwa na magazeti tuu, sasa hivi mijadala yote ni kujivua gamba kwa ccm ili hali nyoka ni yule yule anayeendelea kuwauma wa tz.
Uzoefu unaonyesha ajenda za mpito huwa zina tutoa katika ajenda zetu hata kabla hazijafika mwisho, hivi sasa hao waliojivua gamba wamewasilisha bungeni muswada wenye makosa makubwa na watatufanya tujadili mabadilko yao na kuupitisha muswada wao ili hali ukiwa na makosa hivyo hivyo kwa kuwa tumeicha ajenda hiyo na kuzungumzia mabadiliko ya gamba lao ili hali sumu hawajaitema
mabadiliko ya ccm wanayo yaita kujivua gamba yasitufanye tuache hoja yetu ya msingi toka kuisha kwa uchaguzi mkuu wa mwaka jana, hoja hii ni madai ya katiba mpya
naweka angalizo hili kwa kuwa nafahamu watanzania huwa hatuna ajenda za kudumu daima tunakuwa tunapelekwa na magazeti tuu, sasa hivi mijadala yote ni kujivua gamba kwa ccm ili hali nyoka ni yule yule anayeendelea kuwauma wa tz.
Uzoefu unaonyesha ajenda za mpito huwa zina tutoa katika ajenda zetu hata kabla hazijafika mwisho, hivi sasa hao waliojivua gamba wamewasilisha bungeni muswada wenye makosa makubwa na watatufanya tujadili mabadilko yao na kuupitisha muswada wao ili hali ukiwa na makosa hivyo hivyo kwa kuwa tumeicha ajenda hiyo na kuzungumzia mabadiliko ya gamba lao ili hali sumu hawajaitema