Mabadiliko MUHIMU ndani ya JF

Napenda kuwafahamisha kuwa marekebisho YOTE tumekamilisha.

Hakutakuwa na downtime inayohusiana na server issues hata kidogo. Ikitokea issue yoyote tutawafahamisha inahusiana na nini lakini si server issues.

Kwa niaba ya wenzangu tulioanza kazi hii pamoja na ambao tunaendelea kuangalia kama kutatokea chochote kwa muda wa masaa 12 yajayo (just in case) tunapenda kuwashukuru kwa uvumilivu wenu na kuwaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza!

Shukrani sana
 
Napenda kuwafahamisha kuwa marekebisho YOTE tumekamilisha.

Hakutakuwa na downtime inayohusiana na server issues hata kidogo. Ikitokea issue yoyote tutawafahamisha inahusiana na nini lakini si server issues.

Kwa niaba ya wenzangu tulioanza kazi hii pamoja na ambao tunaendelea kuangalia kama kutatokea chochote kwa muda wa masaa 12 yajayo (just in case) tunapenda kuwashukuru kwa uvumilivu wenu na kuwaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza!

Shukrani sana


Kazi nzuri mkuu. Kapumzike basi upate nguvu ya kuanzia week.

DC
 
Wengi wanaweza kusoma na hawawezi kuchangia; natamani kuwasaidia... nikifanya hivyo wote ambao mko logged in mtakuwa logged off... Sijui kama mtakubaliana na hali hii. Wengi hawajui maana ya CLEAR COOKIES!

Kazi kwelikweli...
 
Wengi wanaweza kusoma na hawawezi kuchangia; natamani kuwasaidia... nikifanya hivyo wote ambao mko logged in mtakuwa logged off... Sijui kama mtakubaliana na hali hii. Wengi hawajui maana ya CLEAR COOKIES!

Kazi kwelikweli...

Wasaidie tu mkuu. Wale wachache tulio hewani tutakosa kwa muda lakini baada ya wewe kumaliza tutafaidi wote kwani tutakuwa wenzetu ambao kwa sasa tunakosa michango yao. I wouldn't mind to be logged off!
 
Wasaidie tu mkuu. Wale wachache tulio hewani tutakosa kwa muda lakini baada ya wewe kumaliza tutafaidi wote kwani tutakuwa wenzetu ambao kwa sasa tunakosa michango yao. I wouldn't mind to be logged off!
Wabonyeze Ctrl kwenye keyboard au laptop zao na wakiwa wamebonyeza hiyo wa-click REFRESH

Huku tayari tusharekebisha badala ya kuwa-log off wote.
 
Kwa mnaotumia Internet Explorer; sipendi kuwakatisha tamaa lakini ukweli ni kuwa hampati uzuri wa mitandao mnayoitembelea kama ambavyo mngeweza kutumia browser nyingine.

Sisi tunapendekeza mtumie Mozilla FireFox, na wale ambao mnatumia FireFox tunajua wengi hamja-update browsers zenu; tafadhali tembelea link hii ku-downlaod latest software ku-upgrade au kuchukua browser mpya BURE:

FireFox: http://www.mozilla.com/en-US/firefox/upgrade.html
 
Kwa mnaotumia Internet Explorer; sipendi kuwakatisha tamaa lakini ukweli ni kuwa hampati uzuri wa mitandao mnayoitembelea kama ambavyo mngeweza kutumia browser nyingine.

Sisi tunapendekeza mtumie Mozilla FireFox, na wale ambao mnatumia FireFox tunajua wengi hamja-update browsers zenu; tafadhali tembelea link hii ku-downlaod latest software ku-upgrade au kuchukua browser mpya BURE:

FireFox: http://www.mozilla.com/en-US/firefox/upgrade.html

Mkuu,
ubarikiwe sana....
 
Poleni wakuu, i dint know how much JF had become part of me thank you very much na asanteni.

Jamani tusione vinaelea vimeundwa embu sisi wengine ambao atuja wai kuchangia tujifunze kutoa.

Embu tusaideieni how can we contribute anonymously, how can we do it.

My option is through western union by giving an alias name lakini namtumia nani sasa na wapi.

Thanks wahusika wote na poleni sana na pls give us tips how we can contribute from abroad,.
 
Wabonyeze Ctrl kwenye keyboard au laptop zao na wakiwa wamebonyeza hiyo wa-click REFRESH

Huku tayari tusharekebisha badala ya kuwa-log off wote.
kama hawaoni REFRESH, then waambie watumie Ctrl + F5
 
Poleni wakuu, i dint know how much JF had become part of me thank you very much na asanteni.

Jamani tusione vinaelea vimeundwa embu sisi wengine ambao atuja wai kuchangia tujifunze kutoa.

Embu tusaideieni how can we contribute anonymously, how can we do it.

My option is through western union by giving an alias name lakini namtumia nani sasa na wapi.

Thanks wahusika wote na poleni sana na pls give us tips how we can contribute from abroad,.
JC,

Michango inaweza kutumwa kwa njia kuu nne:

1. Kwa walio nje wanaweza kutumia PayPal au Credit Cards au Debit Cards kwa kufuata link hii ( https://www.jamiiforums.com/payments.php) iliyo kwenye sahihi yangu (linapoonyesha dole gumba) na pindi mchangiaji anapoweka chochote tunakuwa notified nasi tunafanya kuwasiliana na mhusika ili aweze kupandishwa kwenda katika group la Premium Members.

Paypal users:

Send via email - macdemelo@gmail.com moja kwa moja itafika na utaarifiwa ndani ya dakika 60 kuwa mchango wako umepokelewa.

2. Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.

3. Njia ya tatu ni kutumia Bank accounts za Maxence kama ifuatavyo:

NBC:

Acc #: 033201064359
Jina: Maxence Melo Mubyazi

CRDB:

Account Name: Maxence Melo Mubyazi
Bank: CRDB Pugu Road Branch
Swift Code: CORUTZTZ
Acc No: 01J2092391800

4. Njia ya nne:

Unaweza kutuma recharge vouchers za tiGO, Zain, VodaCom au Zantel kwenda kwa Maxence - 0713444649 naye atakufahamisha kuwa kazipokea.

=================================

Ikumbukwe, SI LAZIMA kuandika jina lako la kweli na SI LAZIMA kwenda mwenyewe bank kutuma pesa hizo (kwani unaweza kumpa unayemwamini na kumpa account details na jina lako ambalo ungependa aandike).

Tunaweza kuandika mengi lakini ukweli unabakia pale kuwa JF inahitaji michango yenu kwa sana tu.

Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.
 
JC,


2. Njia ya pili ni kutumia Western Union au Money Gram na kutuma kwenda kwa Maxence Melo Mubyazi wa Dar es Salaam.




=================================




Kwa wenye maswali zaidi wanaweza kuwasiliana na Maxence kupitia namba yake ya simu +255713444649.

thats my option thank you nitajitahidi leo au kesho, na mimi nimeona ni muhimu kuchangia asante invisible kwa kutuweka mtandaoni.
 
Back
Top Bottom