Source ni wizara ya fedha/hazina na TRA
Kwa hiyo siku hizi wizara zinataja idadi ya waislam na wakristo? Acha kupotosha mkuu.
Source ni wizara ya fedha/hazina na TRA
Asilimia 99 ya kamati kuu Ya CCM ni waislamu!
Askofu Shao wa KKKT anatoa tamko la jumuiya ya Wakristo Tanzania.
-Amesema hakuna mfumo kristo
-Asilimia 90 ya viongozi wa JMT ni waislam
-Asilimia 100 ya viongozi ZnZ ni waislam na si kweli kuwa hakuna wakristo wenye uwezo wa kuongozo Zanzibar
-Tume ya mabadiliko ya katiba 2/3 ni waislam
-Mwafaka (MoU) kati ya serikali na kanisa serikali irudishe hosptal na shule kwa wamiliki wa awali(Makanisa na Misikiti) na Ifute MOU na kama haiwezekani serikali itoe tamko la umuhimu au ubaya wa MoU
-Vyombo vya habari vinavyokashifu ukriso vidhibitiwe na Serikali itoe tamko la usalama wa wakristo.
Sikulijua hili!
Udini tayari upo wazi hakuna tena kujificha kama viongozi wa dini wameamua kuongea haya basi tena tujiandae na lolote litakalotokea.
Mkuu vipi kamati kuu ya Chadema wakiristo wangapi?
AshaDii kama vile umewah kusoma biblia.
ngoja nikupe mfano wa kisa cha kweli kwenye biblia, mfalme wa Israel Yehoshefati aliwah kupata waraka toka kwa wafalme ambao ni Moabu, wameuni na amoni walikuja kupigana na Yehoshefati. sasa walikuja wajumbe kumletea ujumbe kwamba wanakuja watu kupigana na wewe. yehoshefati alichofanya alisimama madhabahuni pa bwana na kumwadhimisha Mungu akamsihi Mungu awasikie mabaya yasiwapate na awaokoe na upanga wa adui. basi Mungu toka patakatfu pake alisikia akamwambia nendeni mbele yako msibebe silaha ila muimbe na kusifu mtauona waokovu wangu. basi waliiskia sauti ya Mungu waakenda mbele kwa kuimba na kusifu wale maadui wakapigana wao kwa wao hadi wakauana na kupotea hakuna mwisrael aliyeuwawa ama kauumizwa.
sasa kwa mantiki hii napata hisia kwamba sio kwamba waisam ndio maadui zetu bali kikundi cha wahuni fuan ambacho sasa wakristo walipaswa waende mbele za Mungu kwa sala na kusifu Mungu awaondoe wale adui zetu katikati yetu. ila haya wanayoyasema ni kuita uchochez utaona kesho utaskia waislam wakitoa tamko juu ya hili.
nenda soma 2nyak20:1-19. utaelewa ninachomaanisha
Sioni chochote hapa zaidi ya ubabaishaji!
Serikali ipo kimya kwa muda mrefu, kwanini Kanisa lisichukue hatua kwa upande wake kuelezea umuhimu au ubaya wa MoU, au kwanini Kanisa lisisitishe MoU?..kulikuwa na thread nzima hapa kuhusu hili.
Kuongelea udini ndio jambo baya zaidi kuliko udini wenyewe.
Mtu yeyote anaependa kuongelea udini ni lazima awe mfuasi wa udini.
lakin bado mm nina maswali mengi kichwan mwangu,
je kwann hadi maaskofu waseme haya?? je ni kwamba hawana imani na hali ya amani iliyopo?? ni kwamba kuna kuonewa ambapo wamekuona ama ni nini?
je hivi kama wakristo wakikaa kimya wasijibu hoja hata moja ingekuwaje ama wasitoe tamko?? na je hivi mungu wa kikristo huitaj mtu kumtetea hadi wakawajibu waislam hoja zao??
Binafsi Askofu wangu Martin Shao hukukaa rohoni. Simbezi ila kwa wanaonielewa watanielewa tu, alichopaswa kusema ni kwamba sasa wakristo tukaze goti tusali Mungu aliye juu ya yote atajidhihirisha kwa wakati wake. tena angesoma habari za yehoshafati wala asingepotez muda kuongea hayo bali angeikabili madhabahu kwa sala za kumwita Mungu aonekane kwa wakati anaotaka.
Hatua waliochukua sii mbaya... Ila inakuwa kama kurudisha nyumba na kuchochea kuni ambazo zilikuwa zimeanza kupoa. Ni wazi kuwa udini sasa upo; lililobaki ni kutafuta suluhu badala ya kujenga hoja na habari ambazo zinaamsha tena hisia 'hasi' za waumini na wasio waumini kwa makundi makuu husika. Hayo maubiri in a way yanakuwa yanasema kama vile "we have the right to get angry" na haijakaa kiusuluhishi; litafanya kila muumini awe right kuona mtazamo wake alio nao wowote ule (uwe wa kujenga ama kubomoa) uonekane ni sawa.
La msingi ilitakiwa atoe kile ambacho anaona ni njia mbadala ya kutatua matatizo... Ilikuwa sio wakati wa kuya 'pronounce' for tayari ilishafanyiwa hivo.
Wanapendekeza? kitu gani kinachowazuia kujitoa katika makubaliano?ombi la kurejesha taasisi zilizochukuliwa na serikali kwa wenyewe litatusaidia, tutaheshimiana. MoU ivunjwe kama wanavyopendekeza hawa wakristo. labda tutagundua tofauti ya misaada ya tende, nyama ya ngamia, majambia na vifaa vya hospitali, shule, maabara n.k