Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
kanisa katolic na wengine walishinda kesi nyingi sana mahakamani kwa kuambiwa wali mtengeneza Yesu wa kubuni ili wadanganye dunia, jamaa wakaja na evidence.FBI na wengine wapo busy sana kufungua Library ya Siri ya kanisa.Pope naye ana kiona mbali cha kuangalia anga za juu(telescope). Makanisa yote yapo hivyo kwa mapana tofauti.Mbona hizo takwimu ktk makanisa ya RC sijazisikia? Hapo ndo huwa nawapa big up RC