Askofu Gwajima akabidhi ambulance mpya Kawe

Nov 21, 2023
10
24
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
 
Gari limetolewa na serikali si ndio? Kuna jimbo leoleo nimeona wamekabidhi ambulance ila mbunge kasema limetoka serikali kuu
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Kazi ya Mbubge sio kununua Ambulance, bali kusimamia Serikali, kuhakilisha mapato ya Serikali hayapotei wala kutumiwa hovyo ili basi yaweze kufanya kazi kaka hizo.

Pesa zinazo pigwa zingesimamiwa na wakina Gwajima na wenzake zingeweza nunua Ambulance mpya kila kijiji sio mtumba.

Kule Bungeni wanapitisha kila kitu, then wanarudi majimboni kuwazuga na Danganya toto
 
Moja wa wabunge wanaofanya kazi kwa bidii ni gwajima, pongez kwake sanaa mungu amtunzee
Bidii gani, pale Bungeni anapitisha kila kitu, Maendeleo yako pale Bungeni kwa Wabunge kuibana Serikali. Mfano Walio tajwa report ya CAG mwaka jana hawajachukuliwa hatua, na wamepiga Billions of Money, huyo Gwajima anasemaje kuhusu hilo? Hizi ni hadaaa ni kama zile za Abood na magari ya kubeba Maiti, ni hadaaa za kuhadaa wapumha type yako.

Nchi itasonga Mbele kwa sera nzuri zinazo simiwa na sio kwa kugawa magari ya wagonjwa, hao raia wa hilo Jimbo wanalioa kodi wanapaswa vitu kama hivyo na vitolewe na Serikali
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Mimi asipotimiza ahadi yake ya kutupeleka wana Kawe Boston hata sitamwelewa hayo ya Ambulence tuwaachie afya na wasio na madani ya ahadi kubwa kubwa na wazalendo wa kujitolea wa njiii nchi hiii🤓
 
Jambo alilolifanya MH Josephat Gwajima ndio linatufanya sisi Wana kawe tuendee kumpenda na kumpa kura zetu za ndio 2025 arudi tena bungeni Kwa kishindo kikubwa
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Huu uongo huwa unafyatuka wenyewe kutoka kwenye ndimi za viongozi?
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa kawe tumepata Mgodi wa almasi na

Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Mgodi wa Almasi wa kawe (jGwajima) unaomilikiwa na wananchi wa jimbo la kawe wamesema hakika Mgodi huo unawanufaisha sana toka uzinduliwe mwaka 2015, na wanashukuru sana kwa ambulance walizo patiwa kutoka katika mgodi huo.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe na mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Askofu Gwajima leo tarehe 22 Februari 2024 amekabidhi ambulance kwenye kituo cha afya Kawe Ukwamani Dar es Salaam.

Akikabidhi gari hiyo ikiwa ni utimizaji wa ahadi yake kwa wananchi wa Kawe, Askofu Gwajima amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Dkt Samia Suluhu Hassan inalenga kukabiliana na matatizo mengi yanayosababishwa na kukosekana kwa miundombinu rafiki ya afya.

Aidha Askofu Gwajima amewasihi wananchi wa kata ya Kawe kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kuwaletea maendeleo na kuboresha hali za maisha.

Askofu Gwajima ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
ANGEKABIDHI NA TIKETI ZA KWENDA MAREKANI WANA KAWE KAMA ALIVYOWAHAIDI MWAKA 2015
 
Back
Top Bottom