Mi nadhani hapa unataka kuleta isue za udini,na please heshima iwepo kwa viongozi wetu wa dini,heshima iwepo,mimi ni mkristu na tuhuma za kizushi kuhusu kiongozi wangu wa Imani sitazikubali,
Punguza jazba kaka. Its you and your GOD, eliminate the middle man. Hawa Maimamu na Wachungaji wako kibiashara zaidi. Nguzo tano za Uislamu si unazijua?
Amri kumi za Mungu si unazijua? Why would you obtain your moral framework from some Mchungaji au a Imamu? Tena you trust your children repeatedly with these folks who have a track record of ulawiti, kisa its religion. Au allowing them to radicalizing Umah at young age, only to manufacture more Shaheeds is insane, but that is religion.
We don't want none of that. We are a country of Christians and Muslims, and everybody else. Viongozi wa dini, wanasiasa, pamoja na waumini wote--hebu jiangalieni usoni.