Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Ni kweli CCM inaongoza nchi. Hao wachache wanao pinga ilipashwa wasikilizwe kuliko kuwapuuza kama ilivyo sasa labda wana hoja ya msingi Kumbuka. Mchungaji mzuri wa kondoo ataacha wengine wote 99 atamfuata mmoja tu aliye potea akisha mpata anamjumuisha na wengine kisha kuna kuwa na shangwe kuuCCM ndio watanzania...CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuiongoza nchi na wananchi. Maoni wanayoyatoa ni ya watanzania wote walioiweka madarakani. Sioni sababu ya kikundi cha watu wachache ya kutaka kuyumbisha malengo mazuri ya chama tawala.