Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
isipokuwa madaktari na wanaharakati wachache sana
Na CDM
isipokuwa madaktari na wanaharakati wachache sana
huko huko tunakotoa habari za kuaminikahii habari umeitoa wapi?
huko huko tunakotoa habari za kuaminika
mabwepandazhii habari umeitoa wapi?
Acheni kuwachochea wenzenu. Mnajidai kuwatetea wakati watakapokuwa wanapata bakora ninyi mtakuwa mnakula kiyoyozi mnachungulia madirishani.
Eee ndio wanaweza kuandamana bila kupigwa mabomu.
Wanatembea wawili ama watatu watatu halafu wanaachana kama mita 2 ama 3 ama 4.
Sio lazima watembee lundo kama wanafunzi
JF weekendaaa!!!Umbea mtupu ulojaa kwe hii habari.
Mimi nasubiri nione,zao la wafaulu mitihani kwa kutumia nyenzo naamini ndo watakaoandamana kesho...waliwaponza Ma'interns wakafutiwa usajili badala ya kuwapigania juzi Chitega sijui Chi' nini akautangazia Uma kuwa eti wamewaachia Viongozi wao(wa ma'interns) washughulikie issue hiyo wakati wao wanendelea kula bata na leseni zao,period!
Chadema watakuwepo kwenye hayo maandamano.