September 13 maandamano makubwa kufanyika nchini; ni ya vijana wanaotafuta ajira

Njaro

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
356
786
Umoja wa watafuta ajira (TJS) leo umetoa kauli ya kufanya maandamano ya amani kwenda Ikulu ili kuomba kauli sahihi kuhusu ajira kutoka serikalini.

Hatua hii imekuja baada ya kutokea kwa mkanganyiko mkubwa kuhusu suala hilo la ajira. Mwanzoni Rais alisema baada ya miezi miwili. Badae waziri Simbachawene akasema hakuna ajira mwaka huu. Mwanzoni mwa wiki hii (Jumanne) waziri Kairuki ambaye yuko ofisi moja na Simbachawene alisema ajira mpaka hapo umma utakapotaarifiwa..

Hivyo basi TJS wameona kuna kauli nyingi za kukanganyika, na kwa hali hiyo wameandaa maandamano makubwa yatakayofanyika tarehe 13. 09.2016. Maandamano hayo yataanzia Buguruni via Kariakoo~Lumumba~Ohio~Ifm mpaka Ikulu...

Ni wito kwa vijana wote ambao wanatafuta ajira, ambao walijiajiri na wamejiajiri ila mambo hayakwenda vizuri kujitokeza kwa wingi wenu... Ili kwa pamoja tukamuona Mh. Rais wetu mpendwa ili tupate majibu ya kina!
 
‘’...Buguruni via Kariakoo~Lumumba~Ohio~Ifm mpaka Ikulu...‘’
Hamna ajira na bado mnataka kujichosha kwa maandamano marefu? Anzieni posta kituoni au hapo kwenye bustani mbele ya Makao makuu ya NBC mnatiririkia ikulu simple kabisa tena mkiwa wasafi.
 
Umoja wa watafuta ajira (TJS) leo umetoa kauli ya kufanya maandamano ya amani kwenda Ikulu ili kuomba kauli sahihi kuhusu ajira kutoka serikalini.

Hatua hii imekuja baada ya kutokea kwa mkanganyiko mkubwa kuhusu suala hilo la ajira. Mwanzoni Rais alisema baada ya miezi miwili. Badae waziri Simbachawene akasema hakuna ajira mwaka huu. Mwanzoni mwa wiki hii (Jumanne) waziri Kairuki ambaye yuko ofisi moja na Simbachawene alisema ajira mpaka hapo umma utakapotaarifiwa..

Hivyo basi TJS wameona kuna kauli nyingi za kukanganyika, na kwa hali hiyo wameandaa maandamano makubwa yatakayofanyika tarehe 13. 09.2016. Maandamano hayo yataanzia Buguruni via Kariakoo~Lumumba~Ohio~Ifm mpaka Ikulu...

Ni wito kwa vijana wote ambao wanatafuta ajira, ambao walijiajiri na wamejiajiri ila mambo hayakwenda vizuri kujitokeza kwa wingi wenu... Ili kwa pamoja tukamuona Mh. Rais wetu mpendwa ili tupate majibu ya kina!

Kwa hiyo vijana wooote wanataka waajiriwe na serikali! Hakuna hata mmoja wao wenye wazo la kujiajiri?
 
Hapo hakuna chadema wala ccm tuungane sasa ni mwaka na hakuna kitu na mtaani hakueleweki.tuungane kwa kumwambia magu mambo sio Mtaani.ccm wanataka vijana tuwe wezi.

Swissme
Ukiwa mwizi ni kujitakia fursa ziko kibao mtaani. Hayo maandamano feki
 
Back
Top Bottom