hadi sasa wameuawa raia 2 kwa kupingwa risasi na askari.raia walio na uchungu kwa kuuwawa ndugu zao na watu wanaosadikiwa kutoka msumbiji kuja chukua viungo vya binadamu.mmoja wa majambazi aliuwawa kati ya wawili waliochomwa moto.na kabla hajafa aliteswa na kurekodiwa na raia hadi akataja sehemu walipo lizaboni.lakini polisi wapo kimya.