Aisee hawa polisi wapo kwa ajili ya kuuwa raia kumbe
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma (Kamuhanda) analalamikiwa kwa kulea majambazi ambao wanaua Raia kila kukicha na kuwaibia,wanachi wakienda kumlalamikia anawambia hakuna kitu kama hicho sasa wanasongea wanasema liwalo na liwe hadi kieleweke.
Kweli hiiiiiiiiii ni hali zaidi,nguvu zaidi,na kasi mpya ya wanaccm kwa kuua raia wasio kuwa na hatia.
kamanda mwema kodoa macho songea!
Pamekua libya!
kwa hili la songea asubuhi ya leo ccm kwisha kazi.
Sasa wananchi chambueni pumba na mchele.
Msiwe na vichwa vigumu kama nazi ebo!!!!!
Wakuu nimepigiwa simu na rafiki'angu toka Songea anasema kumekuwa na mauwaji ya kutisha kwa mda wa wiki sasa na inasemekana watu zaidi ya kumi wamesha uwawa ingawa RPC amedai wananchi wasihofu.
Pia nasikia wananchi waliandamana mpaka kwa mkuu wa Wilaya ila bado uvumbuzi haujapatikana na inasemekana wananchi waliwachoma moto watu wawili kutokana na tuhuma za kuhusika na mauwaji hayo na ndipo wauwaji wakasema sasa wataendeleza mashamulizi.ok mwenye ndugu pande izo anaweza mpigia simu ili tuweze pata taarifa zaidi ila kunajamaangu mwingine ni polisi nae ameniakikishia kuwa hali c nzuri kwa sasa.