Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Wakuu hii kitu ni ya kweli nimeongea na rafiki yangu amenihakikishia na amesema chanzo ni imani za kishirikina kwa kuwa watu wakishauawa wananyofolewa sehemu za siri na akasema mauaji yanafanyika hata mchana hivyo kwa sasa watu wanatembea zaidi ya moja. Kwa muda wote polisi hawajachukua hatua zozote kuzuia mauaji.