Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,800
Hii ndio Tanzania bwana, kazi ya polisi ni kuvunja amani, kuua, ujambazi na kila aina ya uchafu
Jamani nimepata habari kuwa songea hali sio nzuri, kuna vita kubwa katika ya FFU na Bodaboda chanjo kuuwawa kwa dereva mmoja wa bodaboda. Aliekaribu atujuze jaman.
Nawakilisha.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma (Kamuhanda) analalamikiwa kwa kulea majambazi ambao wanaua Raia kila kukicha na kuwaibia,wanachi wakienda kumlalamikia anawambia hakuna kitu kama hicho sasa wanasongea wanasema liwalo na liwe hadi kieleweke.
Watu wawili wamepigwa risasi na kufa: kutoka breaking news ya radio one
Jamani jamani jamani!Hali inadhidi kuwa tete,wanafunzi wanalia,wengine wanakimbia,wametoka madarasani,mji mzima umejaa polisi,hali ni mbaya sana sana,hakuna maelewano kwa sasa,kijana alipigwa risasi kwa sasa amekimbizwa hospitali ya mkoa anatokea sehemu moja naitwa matarawe.