NYAMKANG'ILI
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 223
- 112
PAMBANENI, au mmeshakubali kushindwa? HAKUNA WA KUTUPIGANIA, NI SISI WENYEWE. TUKIKUBALI kushindwa basi, wote tutageuzwa wapagazi na MAFISADI CCM kwa kutumia polisi, ambao hao polisi ndo adui namba moja kwa sasa wa nchi yetu na hata kwa CCM, ila kibaya ni kuwa CCM hawajui jinsi jeshi la polisi linavyohatarisha uhai wake kama chama kilicho madarakani. CHUKI nyingi za wananchi dhidi ya CCM na serikali, zinatokana na polisi: wanaua, wananyanyasa, wananyang'anya mali za wananchi, wanatesa. KILA SIKU WANANCHI wanalia na polisi wa CCM, je CCM itapendwa? WOTE tupambane na dhuluma hii maana kesho kutwa, CCM itakuwa nayo ianomba kibali polisi kuitisha mikutano, HAITAKUWA MADARAKANIWatanzania kuandamana itakuwa ni ngum kwasababu ya ukatili wa jesh letu la polis