William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
FACEBOOK: by William Malecela on Tuesday, July 5, 2011 at 8:40pm[/h]
@ NEW YORK CITY-US: The biggest political joke this week, ilikuwa ni ushauri wa maamuzi magumu kwa Serikali kwa Kiongozi aliyetuingiza taifa hasara ya USD $ 170 Million kwa ajili ya umeme wa dharura wa Megawati 100 ambao haupo. Sasa cha ajabu sana ni wananchi na baadhi ya Wabunge wa CCM waliosimama na kumshangilia sana, ninasema hawa wote tunahitaji kuwakamata na kuwachapa bakora sana, kama Mwalimu alivyokuwa akiwafanyia maviongozi magoi goi kule Ikulu zamani. I mean what happened to this Nation? Tumelogwa na nani hasa? Hili taifa kama ni maamuzi magumu tunatakiwa kuyafanya kwa kusimamia Sheria kwanza, ambako ndiko hasa kwenye ubovu na huyu Kiongozi akiwa ni mfano hai wa hilo la kutoheshimu sheria!
- Kutoheshimu sheria sasa kumetufikisha mahali ripoti ya W/B inasema 20% ya bajeti yetu kila mwaka inaishia kwenye Rushwa, mfano mwingine kati ya kesi 10,000 zilizofikishwa Takukuru toka ianzishwe ni 5% tu zilizofikishwa kwenye Sheria, zingine zimeishia hewani kwa sababu ya Rushwa, Wakulima wetu wa Mbao hishia kupata only 5% ya kilimo chao huku 95% zikienda kwa Viongozi wa juu na makampuni husika kupitia Rushwa. Mh. Lowassa anasema maamuzi magumu ni pamoja na kutafuta madeni zaidi, huku akijua wazi kwamba toka ashike madaraka ya juu mpaka leo, deni la taifa limeongezeka kwa kasi kubwa sana kutoka USD $ 6.1 Billion mpaka sasa USD $ 10.2 Billion, huku Serikali ikiwa haina cha maana cha kuonyesha na hasa umeme ambao aliufanyia maamuzi magumu. Huko kwenye ukusanyaji kodi ndio kabisaa kumeoza, kila mwaka TRA wanashindwa kukusanya Shillingi Billion 100 kwa sababu ya Rushwa, matokeo ni kuongezeka kwa inflation 8%!
- Cha kusikitisha zaidi ni jinsi Serikali ilivyomjibu, ikjikanyaga kanyaga na maneno ya Bara bara ya Mkapa na Chuo Cha Dodoma, badala ya kufanya maamuzi ya magumu ya haraka sana kwa kumkamata haraka sana yeye mwenyewe kwanza na genge lake, ili wakajibu zile USD $ 170 Million za gademu umeme wa dharura ambao haupo ziko wapi? I mean my people, unajua Mungu anahitaji kwenda kuwaomba Radhi watu wa Sodoma na Ghomorah kwa sababu sio siri we are more than them this Nation, look here kati ya wananchi Millioni moja wa Tanzania walioulizwa kama wanaamini tuna Sheria, ni 19% tu waliokubali kwamba zipo, now what about the rest 81% ambao wanaamini kwamba hakuna Sheria? Masikini ya Mungu hili taifa nani atatuokoa? maana hakuna wa kumsaidia mwingine I mean haiwezekani binadam akashindwa kuona na kufikiri pia, kwamba what Mh. Lowassa said is the biggest political joke of all our times na the saddest thing kuna waliomshangilia, dawa ni kukamata wote na kuchapa viboko mbele ya gademu public!
- Tanzania; maamuzi magumu yaanzie kwenye utawala unaoheshimu sheria kwanza!
Mungu Aibariki Tanzania!
William Malecela @ NYC, USA.
@ NEW YORK CITY-US: The biggest political joke this week, ilikuwa ni ushauri wa maamuzi magumu kwa Serikali kwa Kiongozi aliyetuingiza taifa hasara ya USD $ 170 Million kwa ajili ya umeme wa dharura wa Megawati 100 ambao haupo. Sasa cha ajabu sana ni wananchi na baadhi ya Wabunge wa CCM waliosimama na kumshangilia sana, ninasema hawa wote tunahitaji kuwakamata na kuwachapa bakora sana, kama Mwalimu alivyokuwa akiwafanyia maviongozi magoi goi kule Ikulu zamani. I mean what happened to this Nation? Tumelogwa na nani hasa? Hili taifa kama ni maamuzi magumu tunatakiwa kuyafanya kwa kusimamia Sheria kwanza, ambako ndiko hasa kwenye ubovu na huyu Kiongozi akiwa ni mfano hai wa hilo la kutoheshimu sheria!
- Kutoheshimu sheria sasa kumetufikisha mahali ripoti ya W/B inasema 20% ya bajeti yetu kila mwaka inaishia kwenye Rushwa, mfano mwingine kati ya kesi 10,000 zilizofikishwa Takukuru toka ianzishwe ni 5% tu zilizofikishwa kwenye Sheria, zingine zimeishia hewani kwa sababu ya Rushwa, Wakulima wetu wa Mbao hishia kupata only 5% ya kilimo chao huku 95% zikienda kwa Viongozi wa juu na makampuni husika kupitia Rushwa. Mh. Lowassa anasema maamuzi magumu ni pamoja na kutafuta madeni zaidi, huku akijua wazi kwamba toka ashike madaraka ya juu mpaka leo, deni la taifa limeongezeka kwa kasi kubwa sana kutoka USD $ 6.1 Billion mpaka sasa USD $ 10.2 Billion, huku Serikali ikiwa haina cha maana cha kuonyesha na hasa umeme ambao aliufanyia maamuzi magumu. Huko kwenye ukusanyaji kodi ndio kabisaa kumeoza, kila mwaka TRA wanashindwa kukusanya Shillingi Billion 100 kwa sababu ya Rushwa, matokeo ni kuongezeka kwa inflation 8%!
- Cha kusikitisha zaidi ni jinsi Serikali ilivyomjibu, ikjikanyaga kanyaga na maneno ya Bara bara ya Mkapa na Chuo Cha Dodoma, badala ya kufanya maamuzi ya magumu ya haraka sana kwa kumkamata haraka sana yeye mwenyewe kwanza na genge lake, ili wakajibu zile USD $ 170 Million za gademu umeme wa dharura ambao haupo ziko wapi? I mean my people, unajua Mungu anahitaji kwenda kuwaomba Radhi watu wa Sodoma na Ghomorah kwa sababu sio siri we are more than them this Nation, look here kati ya wananchi Millioni moja wa Tanzania walioulizwa kama wanaamini tuna Sheria, ni 19% tu waliokubali kwamba zipo, now what about the rest 81% ambao wanaamini kwamba hakuna Sheria? Masikini ya Mungu hili taifa nani atatuokoa? maana hakuna wa kumsaidia mwingine I mean haiwezekani binadam akashindwa kuona na kufikiri pia, kwamba what Mh. Lowassa said is the biggest political joke of all our times na the saddest thing kuna waliomshangilia, dawa ni kukamata wote na kuchapa viboko mbele ya gademu public!
- Tanzania; maamuzi magumu yaanzie kwenye utawala unaoheshimu sheria kwanza!
Mungu Aibariki Tanzania!
William Malecela @ NYC, USA.