GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
chaguo la wananchi ndio maana anagombania urais, sasa kama una masuala mengi kamuulize Queen Uwengereza ? Ambae anaitawala Uwengereza toka mababu na mabibi zake hadi leo anatawala ufalme wake, iweje maalim seif ? Mwache agombee urais bwana anakubalika kisiasa.Msimamo mzuri ndugu yangu Maalim Seif mpenda madaraka sema umeongea point za msingi chadema walikuwa hawapendi cuf na wanasema cuf ni chama cha zanzibar kwahiyo sio chama cha tanzania cuf imefunga ndoa na ccm matusi mingi sana leo mnataka support ya cuf?huyu Maalim Seif I used to like him before lakini nilikuja kugundua kama anapenda madaraka tu sio kama yupo kwa maslahi ya wazanzibar iwezekani miaka yote yeye tu ndie anataka kugombea Urais kama hakuna watu wengine tafakari