mkuu ur very logical,kweli hii inashangaza, na kuibua maswali mengi sana. on top that kwanini this time?, kwanini Tabora?, for what purpose.
hii inadhihilisha kuwa kweli cuf ni ccm B na sasa wamempeleka igunga kuungana na mmewe ccm A ili kiidhibiti CDM kazi kweli kweli na inasikitisha kuona chama kama hiki ambacho yamkini kilikuwa kianaminiwa na kutumainiwa ktk kusukuma mbele democrasia kinakuwa "BOYA" namna hii.
shime watanzania tuwapige chini tuwakatae watatuchimbia kaburi la democrasia
hii inadhihilisha kuwa kweli cuf ni ccm B na sasa wamempeleka igunga kuungana na mmewe ccm A ili kiidhibiti CDM kazi kweli kweli na inasikitisha kuona chama kama hiki ambacho yamkini kilikuwa kianaminiwa na kutumainiwa ktk kusukuma mbele democrasia kinakuwa "BOYA" namna hii.
shime watanzania tuwapige chini tuwakatae watatuchimbia kaburi la democrasia