YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Wakati wa Maalim umekwisha,kayakanyaga....alimfukuza Mapalala na sasa ni zamu yake.
Seif atamjua safari hii Lipumba kuwa ni profesa ni si muuza urojo pale maeneo ya Darajani Zanzibar
Wakati wa Maalim umekwisha,kayakanyaga....alimfukuza Mapalala na sasa ni zamu yake.
Si kuna mzenji kaenda kwa IGP kuomba escort ya kwenda ofisini kwake Tanganyika bila kujua kwamba IGP ana nakala ya Msajili. Anajitambuaje sasa huyu! Si aende mwenyewe ofisini kwake.
LIPUMBA hatoki na ndio mwenyekiti halali kwa mujibu wa katiba na ana muda wa miaka mitatu kutoka sasaHuyo mzenji ambae kaenda kwa IGP hekima ndio imemtuma kwenda huko ili kuweka akiba ya maneno.
Anajua fika IGP hana moja ambalo anaweza kumsaidia.
Hekima ndio ya mzenji huyu ndio inayompa kiburi lipumba na sikwamba ameshindikana kutoka ofisi za CUF buguruni.
Alipotoka kwa IGP ikawaje sasa?Huyo mzenji ambae kaenda kwa IGP hekima ndio imemtuma kwenda huko ili kuweka akiba ya maneno.
Anajua fika IGP hana moja ambalo anaweza kumsaidia.
Hekima ndio ya mzenji huyu ndio inayompa kiburi lipumba na sikwamba ameshindikana kutoka ofisi za CUF buguruni.
Uchonganishi kutoka lumumbaSeif shariff Hamad Alitakiwa aende peke yake kama katibu mkuu akiwa amebeba makbrasha ya taarifa kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti wa CUF taifa mheshimiwa Lipumba.Sasa yeye anasema atakwenda na baraza kuu zima,wabunge,madiwani,wana CUF!!! ebo.Yeye na hilo kundi lake ndio wanaenda leta vurugu kwenye ofisi ya mheshimiwa mwenyekiti wa CUF.Kama kamwita Seif katibu mkuu ofisini hao wengine kinachowapeleka ofisi ya buguruni ni nini? Si wanataka kumfanyia vurugu tu mheshimiwa mwenyekiti wao? Polisi inabidi wamsaidie Lipumba DHIDI YA HILI GENGE LINALOTAKA KWENDA KUFANYA VURUGU BUGURUNI.
Lipumba leo atalala tena ofisini .hizi ni taarifa za kiitelegesia na atalindwa na "WAHUNI WENZAKE"..!Kama naumuona prof Pumba ....kesho mkikimkiki jazz band
Band
Duh Huyu prof anachokitafuta atakipataLipumba leo atalala tena ofisini .hizi ni taarifa za kiitelegesia na atalindwa na "WAHUNI WENZAKE"..!
Kitengo cha ccm kufanya kazi kwa maagizo ya ccm kama ilivyo uvccm
Lipumba ni mwenyekiti hewa, harafu hii tabia ya nataka sitaki siyo nzuri kwa jinsia ya kiume
Lazima amwogope maana kwa sasa lipumba anamiliki wahuni kama yeye.Maalim anamuogopa Mwenyekiti Lipumba
Lazima amwogope maana kwa sasa lipumba anamiliki wahuni kama yeye.