Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Akamalizane na msajili uliambiwa wanadaiana,vikao halali vya chama vinajulikana,na vikao vya wahuni pia vinajulikana,muhuni aliendoka kwa hiari yake Leo anataka kurudi kwa kutumia uhuni wake alafu eti aachwe kwa lipi.Huyo SEIF vipi alitakiwa aende kwa Msajili wa vyama akamalizane naye kwanza sio aelekee Buguruni wala kwa IGP.IGP asikupotezee muda huyo mwambie aende kwa msajili wa vyama wakamalizane mambo yao kwanza kama akiona kuna mgogoro wa Kisheria na Lipumba aende mahakamani sio polisi wala buguruni