johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Uchaguzi wa 2015 uliendeshwa kidikteta kwenye Vyama karibia vyote
Mbowe alibadili gia angani akamleta Lowassa wa CCM na Babu Duni wa CUF
Dkt. Slaa na Prof Lipumba ndio waliopinga na wakakaa pembeni tena Dr Slaa akampigia Kampeni Shujaa Magufuli
Anayesema leo kwamba alimpinga Lowassa ni mwongo kwa sababu aliyepaswa kupingwa ni mwenye Chama mzee Mtei aliyemleta Lowassa
Ashukuriwe hayati Mtume na Nabii TB Joshua aliyekuwa nchini kabla Matokeo hayajathibitishwa
Mlale Unono 😄😄🔥
Mbowe alibadili gia angani akamleta Lowassa wa CCM na Babu Duni wa CUF
Dkt. Slaa na Prof Lipumba ndio waliopinga na wakakaa pembeni tena Dr Slaa akampigia Kampeni Shujaa Magufuli
Anayesema leo kwamba alimpinga Lowassa ni mwongo kwa sababu aliyepaswa kupingwa ni mwenye Chama mzee Mtei aliyemleta Lowassa
Ashukuriwe hayati Mtume na Nabii TB Joshua aliyekuwa nchini kabla Matokeo hayajathibitishwa
Mlale Unono 😄😄🔥