Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

Wenzio 192 wapo ndani kwa Makosa ya Mtandao.Uchaguzi zn utarudiwa baada ya siku 90 Chini ya Uongozi wa Rais Mh.Dkt John Pombe Magufuli na Kaimu Mwenykt wa Ccm Taifa Ndugu Benjamin William Mkapa mmezoe kudeka deka kwa Jakaya. Anzeni kukarabati zile Kambi za Shimoni Mombasa Kenya.

Unapoona wenzio wanaandika kwa wino halafu wewe unachoronga kutumia mavi sijui unakuwa na maana gani?
 
Kwa ufupi kazungumziaa yafuatayo.

1. Mwenyekiti wa ZEC hana mamlaka ya kufuta uchaguzi

2. Anahoji kwa nini Makamu wa ZEC akamatwe na vikosi vya ulinzi na kupelekwa pasipojulikana

3.Kama uchaguzi umefutwa kutokana na dosari, basi hata wa rais wa jamhuri ufutwe kwani wote hao waliandikishwa kwenye daftari moja na kudumu zanzibar na walipiga kura kituo kimoja.

4. Hatambui maamuzi ya mwenyekiti wa ZEC kwani hakuna kikao cha tume kilichokaa kukubaliana na hilo na pia kusema kwamba hayo ni maamuzi binafsi ya mwenyekiti

5. Anaiomba umoja wa kitaifa na nchi jirani kuingilia kati


Maalim atakuwa bogus,
Hadi sasa ana kesi ya kujibu kwa Taifa la Zanzibar, kwa level yake hakupaswa kuachwa akijitangazia matokeo, alikuwa anajua hatma yake na kwanini alifanya jambo ambalo litahatarisha usalama wa Taifa! Anawezaje kukaidi mamlaka ya tume? Uhuru wa tume unajengwaje ikiwa wewe unaitangulia kutangaza matokeo yako?
Kesi ya maalim seif ni ya kihaini kwa kuwa ameingilia mamlaka ya juu kabisa katika uchaguzi na anajua kwa kufanya hivyo anahatarisha usalama wa nchi!
 
Last edited by a moderator:
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.

Hebu tusaidie kujibu haja zake badala ya kumuita zuzu. Mfano Kwa nini makamu mwenyekiti wa tume amekamatwa na hajulikani alipo? Pia kasema mwenyekiti hajaitisha kikao bali ameamua mwenye we.
 
Unapoona wenzio wanaandika kwa wino halafu wewe unachoronga kutumia mavi sijui unakuwa na maana gani?

Mud wa Kudeka unaishia tarehe 5 Nov.2015. Tunarudisha adabu ya kisiasa. Rais Magufuli na Kaimu Mwnykt wa Taifa Mh.Mkapa watasimamia uchaguIz kwa haki zote.. Mtamkumbuka sana Jakaya.
 
Haii ingii akilini kuwa hata kama ccm wameshindwa watalazimisha tena kwa kumwaga hata damu za watu. kama kweli tunauchungu na muungano kwanini tusiungane na Malawi tukafaidi maji ya ziwa Nyasa sote kwa pamoja? Kwa nini tusiungane na Msumbiji au Kenya, Burundi na Rwanda? Au kama kweli tunayo majeshi yakulinda ulinzi pahali pasipo na vurugu, kwanini Sudan Kusini wanavurugana sisi tunawaangalia tu? Ni kukosa maadili kwa kiwango cha mwisho kupindish jambo ambalo hata kipofu asiye oona anaweza kuhisi joto la mkusanyiko wa watu akajua hapa kuna watu tena wamesongamana na hawakukaa pasi nakuwa wanamadai ya haki na yausawa.
 
Mijitu ya ukawa bhana, mi-BAVICH-wA maji bhana, yaani inapiiiiiiiiiga kelele ktk keyboard, mwenzao anasubiri selo! Mijinga kweli mingi yao.

Kwakuwa ww ni bishoo unaogopa sana selo, nyie watoto wa mama ndio huwa mkisikia selo unajua tu mapenzi ya jinsia moja. Huko selo ni sehemu kama nyingine na kupigwa jicho ni mahaba yako. Ww umezoea kuoga mara 3 hapa na Dar na kutembea na gari la kiyoyozi kwa hela za kukoopa wakulima mazao yao ndio selo unaona hatari.
 
Kwa ufupi kazungumziaa yafuatayo.

1. Mwenyekiti wa ZEC hana mamlaka ya kufuta uchaguzi

2. Anahoji kwa nini Makamu wa ZEC akamatwe na vikosi vya ulinzi na kupelekwa pasipojulikana

3.Kama uchaguzi umefutwa kutokana na dosari, basi hata wa rais wa jamhuri ufutwe kwani wote hao waliandikishwa kwenye daftari moja na kudumu zanzibar na walipiga kura kituo kimoja.

4. Hatambui maamuzi ya mwenyekiti wa ZEC kwani hakuna kikao cha tume kilichokaa kukubaliana na hilo na pia kusema kwamba hayo ni maamuzi binafsi ya mwenyekiti

5. Anaiomba umoja wa kitaifa na nchi jirani kuingilia kati



safi sana maalim! sawa sawa!
CC: REV KISOLO
 
Last edited by a moderator:
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.
yaani wewe ndiyo lofa kabisa!
 
Hii ni africa, atatulia mwenyewe hakuna cha UN wala nchi jirani itakayo ingilia

Kwa hiyo unafurahia??? badala ya kutafuta solution..kweli Donald Trump hajakosea kabisa..ss waafrica ni wavivu wa fikra tulilo jaaliwa ni umahiri wa kufanya mapenzi na kukata mauno basi!!!
 
Ni husda kudhani kuwa mambo ya Zenj niyawenyewe lakini vifaru na madege pamoja na vimburu wametoka bara, kwetu Tanganyika. Pia kumbuka kule kuna kura za Lowassa kaka mgombea wa Cdhadema au Ukawa nazo mtawaachia wazenji??
 
Ccm wameshaharibu uchaguzi kwa tamaa zao za madaraka, wataitia kiberiti hii nchi!
 
Natamani kiongozi mmoja wa UKAWA autangazie umma ili tumsaidie mapambano na washenzi wanaoitwa CCM ili tuikomboe nchi yetu. Haki haipatikane ila kwa ncha ya upanga[/QUOTE
Ukikua akili zitakuja tu. Hujui unachosema na lazima utakuwa under 15.
 
wabara wanatamani na huku matokea yabatilishwe wakati wazenji wanakataa yalivyobatilishwa kwao...
 
Back
Top Bottom