mwanamby
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 825
- 218
Una macho kweli wewe?!
Mkuu ccm huwa hawaoni palipo na ukweli
Una macho kweli wewe?!
Wakishinda upinzani uchaguzi unakuwa batili ,wakishinda watawala uchaguzi automatically unakuwa huru na wa haki.
Mkuu, yaani unatishia nchi nzima eti Lissu? Si atakuja kutoa povu tu basi? Life goes on. Endelea na maisha yako. Ilinde na kuitunza family yako. Lissu hatakusaidia cho chote!Ccm wamelikoroga.
Ngoja Lissu afike dar.
Yupo ktk gari ruvu
Akili ndogo juu ya akili kubwa,.
Kwani kitendo cha Sefu kujitangazia ushindi kilikuwa cha kukuza Demokrasia Zanzibar?
Mbona January makamba alitoa matokeo yake mkuu, usiwe shabik sana. Ni ushauri tu ila
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.
Huyu jamaa ni Ngunguri kweli
Nchi za kiafrika unapaswa kuwa hivi
Lowasa mpole sana
Natamani kiongozi mmoja wa UKAWA autangazie umma ili tumsaidie mapambano na washenzi wanaoitwa CCM ili tuikomboe nchi yetu. Haki haipatikane ila kwa ncha ya upanga
siyo kitu cha kujivunia. kuna taratibu za kisheria zinazotambulika kimataifa. hivi siyo ukawa waliowaahidi watz kuwa hakuna damu itakayomwagika na kwamba seif angeheshimu matokeo? hata matokeo bado tayari maandalizi ya vurugu yameanza. tumwogope mungu na tuache kujitoa ufahamu.
mtafuteni lipumba na hamad rashid wawasaidie, alivyoona watu wamekubali serikali ya umoja wa kitaifa akadhani mabwege, sasa nnatamani kiongozi mmoja wa ukawa autangazie umma ili tumsaidie mapambano na washenzi wanaoitwa ccm ili tuikomboe nchi yetu. Haki haipatikane ila kwa ncha ya upanga
naona ka muungano kanasepa taratiiiiiiiibu....!!