Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

Zanzibar ni nchi pekee duniani ambapo tume ya uchaguzi yenyewe inaona uchaguzi haukuwa huru na haki wakati vyama vya siasa, wananchi na hata waangalizi wa nje hawajaona wala kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki. Zanzibar ni nchi pekee duniani ambapo serikali inaandaa uchaguzi yenyewe, inausimamia yenyewe na inalalamika yenyewe kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki. Tafakari...........:majani7:

imeingia kwenye maajabu ya dunia
 
Seif kujitangazia matokeo ameanza uchaguzi huu? Mbona chaguzi za nyuma alikua anajitangazia na sheria hii hii ilikuwepo lakini hamkufuta uchaguzi? Kama kujitangazia matokeo imewakuna..mngemshtaki akalipe hiyo fine ya laki 5. Kilichotokea safari hii ni kwamba matokeo aliyotangaza yalienda sawasawa na yaliyokua ZEC. Ndio maana jeshi lilienda bwawani jana likawatimua waangalizi na waandishi wa habari. Na ndio maana mliamua kumshinikiza kibaraka wenu jecha mpaka akatangaza kufuta matokeo akiwa mafichoni na bila kushirikisha tume. Hatua ya kufuta uchaguzi ni kubwa na msingeichukua kama mlikua mnaenda kushinda huo uchaguzi.

Awamu hii hataki kupiga dili anataka kuwatumikia wazenj....
 
There's something that these people who don't to let go the power aren't aware of: WE ARE BORN ONE DAY, WE DIE ONE DAY AND ANYTHING CAN HAPPEN IN JUST ONE DAY.

What is base for their apprehension? I can see jet fighters cruising in the air since morning, is this to scare people? How do they think those young men piloting those fighters dont need changes?

ACCIDENTS CAN HAPPEN IN JUST ONE DAY.
 
Death is inevitable to every one. There's no need to scare people. Who will not die by the way!? Justice and peace are twins, but injustice is the core source of all violence!!
 
Back
Top Bottom