Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
M4C yatua kwa olesendeka kwa chopa, Wakazi wa mjini Arusha leo Asubuhi walijitokeza kwenye uwanja wa NMC kuwaaga makamanda watatu Lema, Ole Milya na Mawazo walipokuwa wanajianda kupanda chopa kuelekea Simanjiro watakoenda kufanya mikutano kwenye kata 14 yaani leo kata 7 na kesho kata 7 kisha wataelekea kwa jimboni kwa Lusinde kabla ya kutua jimboni kwa Wasira.
Waandishi wa habari wakiwa busy kuchukua matukio kwenye uwanja wa NMC leo Asubuhi .
Chopa iliyowabeba Lema, Ole Milya na Mawazo ikiruka kuelekea Simanjiro.
Waandishi wa habari wakiwa busy kuchukua matukio kwenye uwanja wa NMC leo Asubuhi .
Chopa iliyowabeba Lema, Ole Milya na Mawazo ikiruka kuelekea Simanjiro.