Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
mkutano ndio umeanza, watu bado sio wengi sana. Hali ya hewa sio nzuri sana, kuna manyunyu ya hapa na pale. Mgeni rasmi lema bado hajafika. Tutaendelea kujuzana.
Sawa simbachawene tumekusikia.
ni muda tu mkutano umemalizika hapa katika viwanja vya katubuka shuleni, na wanachama karibu 64 wa CCM na Chadema 216 wameamua kuachana na vyama hivyo, na kujiunga na chama cha wanainchi CUF, mkutano huo ambao uliambatana na ufunguzi wa matawi 11. HAKI SAWA KWA WOTE.
nami nipo hapa uwanja wa Tip kweli watu ni wachache mno labda tusubiri mpaka saa 11.
Sijakuambia Lema hawezi kuja Dar mie sina uwezo wa kumzua mtu kuja Dar nilichokuwambia Dar wameshindwa kina Mbowe, Slaa, sembuse Lema.
Weka picha acha tabia za mkamaKweli leo hali ngumu Sinza kimenuka hakuna cha Lema wala Heche.
Yaani wewe ni dhaifu wa mwili, roho na akili!
Mkuu maneno ya Mungu hayana uhusiano na mkutano wa Sinza.
Wewe kwako hata mashabiki wa Chadema wakiwa kumi wanatembea unasema maandamano makubwa...weka basi picha wa hayo maandamano makubwa!
Kweli leo hali ngumu Sinza kimenuka hakuna cha Lema wala Heche.
kamanda lema ananena hapa....... Kikwete omba omba,