Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,826
hee kumbe lema ni jambazi sasa mbona hachukuliwi hatua za kisheria? kweli nimeamini maneno ya kamanda Mnyika kwamba nchi yetu inaongozwa na viongozi wadhaifu.Anaogopa kurudia kazi yake ya ujambazi tayari anajulikana, ila mwache yeye na Heche wawashughulikie watoto wa vyuo vikuu wanaendekeza njaa sana hao.