Mbona kuna thread nyingine inasema Lema leo yupo Sinza!?
mkutano ndio umeanza, watu bado sio wengi sana. Hali ya hewa sio nzuri sana, kuna manyunyu ya hapa na pale. Mgeni rasmi lema bado hajafika. Tutaendelea kujuzana.
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
mkutano ndio umeanza, watu bado sio wengi sana. Hali ya hewa sio nzuri sana, kuna manyunyu ya hapa na pale. Mgeni rasmi lema bado hajafika. Tutaendelea kujuzana.
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
Mkuu mbona ume-dominant hii thread utadhani wewe ndio initiator of this thread. Nadhani uache kudandia hoja. Mimi nipo Sinza na mkutano umeanza na watu wapo wa kutosha kabisa. Tatizo ni udhaifu na kuvurugwa.
Hizi threads mbili zote ziko hewani kwa muda huu. Hivi Lema ana mikutano mingapi leo?
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
Najua sio wewe ni udhaifu na kuruvugwa ndio kuna kuponza.
mkutano ndio umeanza, watu bado sio wengi sana. Hali ya hewa sio nzuri sana, kuna manyunyu ya hapa na pale. Mgeni rasmi lema bado hajafika. Tutaendelea kujuzana.
Wewe niite utakavyo lakini ukweli utabaki kuwa ukweli Sinza kimenuka.
Hizi threads mbili zote ziko hewani kwa muda huu. Hivi Lema ana mikutano mingapi leo?
Hivi kuwa na mikutano miwili kwa siku moja inamaanisha kuwa sehemu mbili wakati mmoja?thread mbilli kuwepo kwa wakati mmoja haimaanishi yupo sehemu mbili kwa wakati mmoja, come on be smart bana. Hiyo ya sinza imeanza saa nyingi saiv ni watu wanaendelea kuchangia tu. Ila kwa sasa yupo kimanga. Kama huamini shauri yako.
Anaogopa kurudia kazi yake ya ujambazi tayari anajulikana, ila mwache yeye na Heche wawashughulikie watoto wa vyuo vikuu wanaendekeza njaa sana hao.