lema bwana baada ya kukosa posho za ubunge sasa anaganga njaa kwenye kampeni ili aingize siku
Kuhusu nape?
lema bwana baada ya kukosa posho za ubunge sasa anaganga njaa kwenye kampeni ili aingize siku
lema bwana baada ya kukosa posho za ubunge sasa anaganga njaa kwenye kampeni ili aingize siku
M4C leo ni zamu ya sinza, wanafunzi vyuo vikuu waanza kukutana sinza white inn, ni kwenye mkutano utakao hutubiwa na kamanda Lema leo, wanafunzi zaidi ya 4000 kukutana...
Anaogopa kurudia kazi yake ya ujambazi tayari anajulikana, ila mwache yeye na Heche wawashughulikie watoto wa vyuo vikuu wanaendekeza njaa sana hao.
Wewe njoo ujivue gamba maana ulisema lema hawezi kuja dar sasa yuko dar na kwasasa kuna maandamano makubwa sana yanaelekea kwenye uwanja wa mkutano...
Maandamano mkubwa kutoka Sinza makaburini mpaka Sinza White Inn, watu ni wengi sana.
Harakati za mageuzi hazifanyiki chumbani,lema bwana baada ya kukosa posho za ubunge sasa anaganga njaa kwenye kampeni ili aingize siku
Wewe kwako hata mashabiki wa Chadema wakiwa kumi wanatembea unasema maandamano makubwa...weka basi picha wa hayo maandamano makubwa!
Wewe kwako hata mashabiki wa Chadema wakiwa kumi wanatembea unasema maandamano makubwa...weka basi picha wa hayo maandamano makubwa!
Zamani nilijua unaishi Dar kumbe unaishi Lindi na leo na thibitisha pia kuwa wewe uko Lindi siyo Dar.............
Kama umeshawaona wako kumi unalilia picha ya nini?
Tayari una picha yako kichwani mwako kuwa ni watu kumi, endelea kuitazama na kuiamini picha iyo.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums