Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Sijui nani anastahili kuombwa na kupokea msamaha, maana watu wanamrukia Lundenga wa watu. Kwa kweli taasisi nyingi binafasi na za serikali pamoja na watu binafsi hawakuonekana kuheshimu maisha ya watu waliopotea. Nadhani wengi tunahitaji kuomba msamaha, ila sijui kwa nani.