Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Itabidi sasa hata viongozi wanaotuhumiwa na ufisadi watengwe na jumuiya za dini zao na kufanyiwa maombi maalumu Mungu awaadhibu na familia zao, maana hii kusafishana kwa serikali ya ****** sijui kutaisha lini.
Mimi nasema hata kama hakuna taasisi 20 ila zilichangwa hela ambazo nikijumlsha haraka haraka naona kama ni mil 518. Ambazo kwa haraka haraka ni kama madawati 3,453 (518m/150,000) tena madawati ya kisasa kabisa.
Mimi nasema hata kama hakuna taasisi 20 ila zilichangwa hela ambazo nikijumlsha haraka haraka naona kama ni mil 518. Ambazo kwa haraka haraka ni kama madawati 3,453 (518m/150,000) tena madawati ya kisasa kabisa.