Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Namshukuru Luhanjo kwa kuruhusu matumizi mabaya ya ofisi ya serikali
Nasikia Kikwete aliporudi kutoka SA alimkaripia Pinda kwa kauli yake hiyo hadharani. Hapo wengine tulijua haendi mtu.kama Pinda angekuwa na ujasiri angejiuzulu kwa kuwa alishatamka bungeni kuwa nastahili kufukuzwa kazi kwa kuwa makosa aliyotenda hayawezi kutetewa kwa namna yoyote ile ila hakuwa na malaka hayo kuwa sio yeye aliyemteua.
Wapi?Unaweza kuta walikuwa wanavizia hizo nafasi.Plus huyo Rejao.My advice is dont buy it.Mura Mwita25 kumbe mara moja moja huwa unakuwa na akili timamu. Kama ulikuwa hujafahamu, Rushwa na Ufisadi ndizo sera za chama chetu na serikali yake.
<br />
<br />
MM,
Tuhuma hizo zilikosa uzito gani? Nadhani kwa sababu hatujui ripoti imesema nini inakuwa vigumu kulizungumzia hili suala.
Ila kutokana na hali halisi, yaani, maneno ya Waziri Mkuu bungeni na kwamba kutakuwa na kutafutana mchawi kati ya Jairo na wafanyakazi wa Wizara si busara kumrudisha wizarani! Waziri Mkuu ni bosi wake! Alimhukumu kabla ya kujua ukweli. Wafanyakazi wa wizara ndio waliomuuza kwa kina Shelukindo. Ni bosi wao!
Hii nchi ina mapungufu kila upande. Kwa wanaotaka mabadiliko na walioko madarakani. Wote wana mapungufu makubwa. Wote wanataka sifa kwa kutotenda au kutekeleza maslahi ya wananchi! Kila mtu anataka aonekane kiongozi bora sio kwamba ni kiongozi bora!
Inakwaza sana kufikiria mwisho wa haya yote!
Juu ya ukweli wa hii taarifa naomba niruhusuwe niwe doughting tomaso, lazima nione viganja ndio ni amini. Ya wezekana ni watu wa idara ya hali ya hewa mko kazini na kipima upepo( you call it barometer sio?). Inasemekana mnatumia mbinu za zamani kupima hali ya hewa. Bali ni furusa ya kuona wachaingiaji ambao wako idara ya hali ya hewa. Ila wafikishiene ujumbe huu mitaa hali ya hewa ni mbaya sana mvua na upepo ni mwingi sana ikiongezeka na hiyo sunami ya jairo tena, si ajabu sunami inayoikumba libya sas ikatokea na hapa kwetu.
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil
More updates to follow
sasa unataka nani apeleke huo ushahidi wakati tuhuma ziliibuliwana magamba wenyewe, kumbe CCM wakurupukajiHuo ndio utawala wa sheria. Pelekeni ushahidi ili afikishwe mahakamani kama hamkuridhika na maamuzi ya Serikali.