Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
jamani kwani kutuhumiwa ni kukutwa na hatia? si alituhumiwa, akawekwa kando kupisha uchunguzi huru na umekamilika na kuonekana hana hatia (kama ndivyo alivyoonekana)
mi nafikiri kwa mchakato wa utawala bora wako sawa, ila wasiwasi wangu ni sawa na wa wengine, kama suala la jairo halikuwa la rushwa/ufisadi, sasa suala la rushwa/ufisadi ni la aina gani? kama hata jairo kapenya, atakayenaswa ni nani tena?
kwa kweli mi naona kama serikali inaji-disqualify yenyewe katika ku-lead hii vita ya rushwa/ufisadi
bado nasubiri kupata taarifa kamili kabla siaongeza maoni yangu mengine
mbarikiwe sana
YES hana hatia; wachunguzi walikuwa wanashinda naye clubs na kwenye makasino!