Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Huku mbunge Filikunjombe akilazimika kuwatuliza wananchi hao kwa kuwapigia magoti ili wasivuruge mkutano wake na kuwa mkutano huo si wa diwani na kama diwani wao ni fisadi wamfikishe mahakamanikwa tuhuma za ufisadi.
Tukio hilo lilitokea juzi kabla ya mbunge huyo kupata ajali ya kupinduka na mtumbwi katika Ziwa Nyasa pamoja na familia yake mara ya kuwahotubia wananchi hao na kuwakabidhi boti yenye thamani ya shilingi milioni 60 kwa ajili ya usafiri wa wagonjwa .
Source: Mzee wa Matukio Daima